Mwalimu akutwa na viungo vya albino
>Polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga inawashikilia watu watano, akiwamo mwalimu wa shule ya msingi na mwanamke mmoja, kwa tuhuma za kukutwa na viungo vya albino wakiwa katika harakati za kutaka kuviuza wilayani Nzega na Kahama.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Siri yafichuka viungo vya albino
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hEGkr3BeAhU/U85UqUTHEEI/AAAAAAAF4sg/NnQGo7T4kH0/s72-c/3.jpg)
KAMANDA KOVA AKUTANA NA WANAHABARI KUZUNGUMZIA SWALA NA VIUNGO LA VIUNGO VYA WATU VILIVYOTUPWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-hEGkr3BeAhU/U85UqUTHEEI/AAAAAAAF4sg/NnQGo7T4kH0/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vmL4Qkuabp0/U85UspcLKZI/AAAAAAAF4sk/YNr2OLdZ_8w/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PoWCh_oG1SQ/U85Usj92MDI/AAAAAAAF4so/vt2MAtsvjYQ/s1600/2.jpg)
Chini ni Taarifa Rasmi iliyotolewa leo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYinyyYX32-PcZKDrMyZiUSFR3EQs1GaRDeLZT8mhD1HeefvuyTHc2xift3ieDkTD1IrIfEWoREncPJfz9fgZeHi/mwalimu.jpg)
MWALIMU AKUTWA AMEFUNGWA MINYORORO KANISANI
10 years ago
Mwananchi15 May
Albino wazidi kukatwa viungo
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Albino 5 Tz warejeshewa viungo Marekani
11 years ago
Mwananchi14 May
Albino auawa, wauaji watoweka na viungo
10 years ago
Habarileo25 Mar
Mbaroni kwa viungo, mifupa ya albino
WATU wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera kwa kosa la kukutwa na viungo mbalimbali vya mwili ikiwemo mifupa mitatu ya mtu mwenye ulemavu wa ngozi (albino).
9 years ago
BBCSwahili20 Aug
Watoto Albino wapatiwa viungo marekani
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Breaking News: Mtoto Albino akutwa ameuwawa kikatili
Kamanda wa Polisi mkoani Geita, Joseph Konyo pichani.(Picha na Maktaba)
Mwili wa mtoto wa mwaka mmoja mwenye ulemavu wa ngozi Yohana Bahati aliyeporwa mikononi mwa mama yake juzi Mkoani Geita, umekutwa jana jioni ukiwa umekatwa miguu na mikono yote na kufukiwa ardhini kwenye hifadhi ya msitu wa Biharamulo, Wilayani Chato.
Imethibitishwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo.
R.I.P Yohana Bahati