Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Breaking News: Mtoto Albino akutwa ameuwawa kikatili

 

10

Kamanda wa Polisi mkoani Geita, Joseph Konyo pichani.(Picha na Maktaba)

Mwili wa mtoto wa mwaka mmoja mwenye ulemavu wa ngozi Yohana Bahati aliyeporwa mikononi mwa mama yake juzi Mkoani Geita, umekutwa jana jioni ukiwa umekatwa miguu na mikono yote na kufukiwa ardhini kwenye hifadhi ya msitu wa Biharamulo, Wilayani Chato.

Imethibitishwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo.

R.I.P Yohana Bahati

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mkazi wa Singida akutwa ameuwawa na kutupwa porini aliwa na Fisi

DSC03164

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, Thobias Sedoyeka akitoa taarifa kwa vyombo vya habari (havipo pichani).

Na Nathaniel Limu, Singida

MWILI wa mkulima na mkazi wa kijiji cha Manguanjuki  kata ya Mandewa tarafa ya Unyamikumi manispaa ya Singida, Iddi Alli (35), ameuawa na mtu/watu wasiojulikana na kisha baadae sehemu za mwili wake kuliwa na Fisi.

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, Thobias Sedoyeka,alisema mwili huo wa mkulima huyo umeokotwa na raia wema juzi saa 1.38...

 

10 years ago

Vijimambo

Mtoto albino aliyenyang'anywa mikononi mwa mamaye akutwa amekatwa miguu, mikono yote. Kiwiliwili chake chatelekezwa msituni


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo.

Siku tatu baada ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Yohana Bahati (1), kutekwa na watu wasiofahamika, hatimaye mwili wake umepatikana ukiwa umekatwa miguu, mikono yote na kiwiliwili chake kufukiwa shambani katika Kitongoji cha Mapinduzi, Kijiji cha Rumasa ndani ya hifadhi ya msitu wa Biharamulo Wilaya ya Chato, mkoani Geita.

Mtoto huyo alinyakuliwa Jumapili iliyopita nyumbani kwao saa 2:15 usiku akiwa amebebwa na mama yake mzazi, Esther...

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News…#Ukatili tena: Mtoto mwingine mwenye Albinism akatwa mkono, mama mtu ajeruhiwa vibaya

SAM_2888

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda (katikati) akizungumza na waandishi wa habari. (Picha na maktaba).

Na modewji blog

Mtoto Baraka Cosmas Rusambo mwenye umri wa miaka sita mwenye ulemavu wa ngozi (Albinism), amekatwa mkono wa kulia katika tukio lilitokea Jumamosi usiku tarehe7 Machi kwenye kijiji cha Kiseta, Kata ya Kiseta, Tarafa ya Kiseta wilayani Sumbawanga  vijijini, mkoani Rukwa.

unnamed

Picha ya mtoto Baraka Cosmas Rusambo, akiwa wodini akipatiwa matibabu ya jeraha la...

 

10 years ago

Vijimambo

Naungana na Wewe Kupinga Vitendo vya kikatili juu ya Albino

"Ni kweli mimi ni Albino, nimejikubali na nimeishi maisha yangu yote bila kujali nilivyo. Sijawahi kutumia hali yangu kupata kitu kwa huruma, nimeyapigania maisha yangu na nimepiga hatua.
Leo hii naongea nanyi nikiwa Baba, Mume, Mwandishi Mwandamizi, Blogger, na mengine mengi, lakini hali yangu sasa inaanza kunikwaza.
Haya mauaji jamani, nimejiteua kuwa Balozi, nitatetea, na kusimama mbele ya wenzangu wote wenye hali kama hii, kama ni wanasiasa ama wafanyabiashara, wanataka kutuua kwa maslahi...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwalimu akutwa na viungo vya albino

>Polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga inawashikilia watu watano, akiwamo mwalimu wa shule ya msingi na mwanamke mmoja, kwa tuhuma za kukutwa na viungo vya albino wakiwa katika harakati za kutaka kuviuza wilayani Nzega na Kahama.

 

11 years ago

Mtanzania

Mama na mtoto wake wauawa kikatili

Arusha Town

Arusha Town

Na Eliya Mbonea, Arusha

MKAZI wa eneo la Baraa Ngulelo, jijini Arusha, Lightness Thomas na mtoto wake wa kike, Joyna Charles (9), wamekutwa wamekufa ndani ya nyumba yao huku vichwa vyao vikiwa vimetobolewa na kitu chenye ncha kali.

Miili ya watu hao iligundulika ndani ya nyumba yao usiku wa Julai 27, mwaka huu, kitandani na kufunikwa blanketi, huku ikiwa imeharibika vibaya.

Akizungumza na MTANZANIA, ndugu wa marehemu ambaye hakupenda jina lake litajwe kwenye gazeti, alidai watu...

 

10 years ago

Mwananchi

Mtoto aliyepotea auawa kikatili, maiti yaokotwa

 Mtoto Nuru Mohamedi (7) ameuawa kikatili na kisha mwili wake kutelekezwa kwenye nyumba ambayo haijakamilika ujenzi iliyo Majohe Kichangani mjini hapa.

 

11 years ago

GPL

MTOTO MIAKA 9 AKUTWA AMEJINYONGA

Stori: Gabriel Ng’osha
MY God! Katika hali ya kushangaza, mtoto Focus Saimoni (9), mkazi wa Kwa Bibi Yuda, Kinondoni jijini Dar amekutwa amejinyonga kwenye komeo la mlango wa sebule yao. Baba mzazi wa marehemu Focus Saimon (9). Focus aliyekuwa akisoma darasa la tatu katika Shule ya Msingi Kumbukumbu, amedaiwa kufanya tukio hilo Jumamosi iliyopita kwa kufunga gauni la mdogo wake shingoni na kujitundika kwenye komeo hilo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto aliyepotea akutwa mtupu

MTOTO Lusia Moga (2) aliyepotea katika mazingira ya kutatanisha Julai 8, mwaka huu kati Kijiji cha Bukore wilayani Bunda, Mara amekutwa akiwa mtupu nyumbani kwa Magembe Nyabu, mkazi wa kijiji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani