Mkazi wa Singida akutwa ameuwawa na kutupwa porini aliwa na Fisi
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, Thobias Sedoyeka akitoa taarifa kwa vyombo vya habari (havipo pichani).
Na Nathaniel Limu, Singida
MWILI wa mkulima na mkazi wa kijiji cha Manguanjuki kata ya Mandewa tarafa ya Unyamikumi manispaa ya Singida, Iddi Alli (35), ameuawa na mtu/watu wasiojulikana na kisha baadae sehemu za mwili wake kuliwa na Fisi.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, Thobias Sedoyeka,alisema mwili huo wa mkulima huyo umeokotwa na raia wema juzi saa 1.38...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Breaking News: Mtoto Albino akutwa ameuwawa kikatili
Kamanda wa Polisi mkoani Geita, Joseph Konyo pichani.(Picha na Maktaba)
Mwili wa mtoto wa mwaka mmoja mwenye ulemavu wa ngozi Yohana Bahati aliyeporwa mikononi mwa mama yake juzi Mkoani Geita, umekutwa jana jioni ukiwa umekatwa miguu na mikono yote na kufukiwa ardhini kwenye hifadhi ya msitu wa Biharamulo, Wilayani Chato.
Imethibitishwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo.
R.I.P Yohana Bahati
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2MN-fR40TvA/VIsQimHJnPI/AAAAAAAG2t0/-PINyFVOVqo/s72-c/MMGM0878.jpg)
Mtu mmoja akutwa amekufa porini leo
Hali ya sintofahamu iliendelea kutanda katika eneo hilo huku kila alieweza kufika katika eneo hilo la tukio akiwa na mshangao wa kipi kilichomsibu mtu huyo mpaka kufikwa na mauti ya aina hiyo.
Akizungumza mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo ambaye...
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Picha za tukio la kuuwawa kwa Fisi mjini Singida ziko hapa!
![DSC01597](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC01597.jpg)
![DSC01600](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC01600.jpg)
![DSC01604](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC01604.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Mkazi wa Singida aliyeuwa baba yake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa
Jengo la Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Singida mahali mahakama kuu inaendelea na vikao vyake.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
Mkulima mkazi wa kijiji cha Damankia kata ya Dungunyi wilaya ya Ikungi mkoani Singida,Silvery Adriano (56), amehukumiwa na mahakama kuu kanda ya Dodoma inayoendelea na vikao vyake mjini hapa,adhabu ya kunyongwa hadi kufa, baada ya kupatikana na hatia ya kumuuwa baba yake mzazi kwa makusudi.
Imedaiwa mahakamani hapo kuwa mshitakiwa Silvery...
11 years ago
Mwananchi05 May
Mwenyekiti wa CCM aliwa na mamba Rufiji
10 years ago
Mtanzania05 May
Mkulima aliwa na simba shambani kwake
NA AMINA OMARI, MKINGA
MKULIMA mmoja mkazi wa Kijiji cha Mlima kilichopo Kata ya Mwakijembe, wilayani Mkinga, Mkoa wa Tanga, Silyvester Msubari, amefariki dunia baada ya kuliwa na simba.
Mkuu wa Wilaya ya Mkinga, Mboni Mgaza, alisema jana kuwa mkulima huyo aliuawa juzi alfajiri wakati alipokuwa shambani kwake akilinda mazao yake yasiharibiwe na wanyama.
“Siku ya tukio, marehemu alikuwa shambani kwake akilinda mazao yake yasiharibiwe na wanyama.
“Wanyama hao wamekuwa wakizagaa mashambani kwa...
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: Mwanaume aliyekiuka amri ya kukaa nyumbani aliwa na mamba Rwanda
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIM5ZSWhuBb8jB*WaqzBpMwJ2gxTLCjfRO2mf7dTJIK0TlFtkmYOt-EHK28qcIpKa29vqR0aYmjTHAqoOKO0gnkikq039JQs/HelenFlanaganCuteWallpaper.jpg?width=650)
FISI HAACHIWI BUCHA
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Watanzania milioni 7 maskini wa kutupwa
ASILIMIA 9.7 ya Watanzania, sawa na watu milioni 7.2 wanakabiliwa na umaskini uliokithiri nchini. Kutokana na hali hiyo, serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) imeendelea na miradi ya...