Coronavirus: Mwanaume aliyekiuka amri ya kukaa nyumbani aliwa na mamba Rwanda
Mwanaume mmoja nchini Rwanda ambaye alikiuka amri ya kukaa nyumbani ambayo inaendelea kutekelezwa nchini Rwanda na kuamua kwenda kuvua samaki ameuawa na mamba, Meya wa wilaya ya Kamonyi kusini mwa Rwanda ameiambia BBC.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili29 Mar
Coronavirus: Serikali ya Rwanda yatoa chakula kwa walioathiriwa na amri ya kukaa nyumbani
Famalia zilizoathiriwa na sheria ya kukaa nyumbani , nchini Rwanda zimeanza kupokea msaada wa Chakula kutoka kwa serikali ya nchi hiyo.
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: Jinsi amri ya kukaa nyumbani ilivyoibua mjadala kwa wafanyakazi wa ndani India
Mwishoni mwa wiki, India iliongeza muda wa marufuku ya kutoka nje katika taifa zima kwa muda wa usiku kwa siku 40 nyingine lakini wafanyakazi wa ndani wanaweza kuwa wanarundi nyumbani kwao.
11 years ago
Mwananchi05 May
Mwenyekiti wa CCM aliwa na mamba Rufiji
Mwenyekiti wa CCM, Tawi la Lumumba katika Kijiji cha Kilimani Mashariki kilichopo Kata ya Ngorongo, Rufiji, Saidi Simba (60), amefariki dunia kwa kuliwa na mamba baada ya kuzama na mtumbwi alipokuwa akienda shambani.
5 years ago
BBCSwahili27 Mar
Coronavirus: Idadi ya maambukizi Rwanda yaongezeka licha ya amri ya kutotoka nje
Rwanda imetangaza maambukizi mapya mengine 13 chini ya wiki mbili huku taifa likiwa limefunga mipaka kama juhudi za kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Virusi vya corona: Kupingwa kwa amri ya kukaa ndani inayoendelea nchini Marekani
Taarifa kuhusu waandamanaji zimegonga vichwa vya habari ulimwenguni kote, wakipinga marufuku ya kukaa ndani kutokana na sababu za kiuchumi.
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Waziri wa zamani Rwanda kukaa jela miaka 47
Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR) imeamua waziri mmoja wa zamani wa Rwanda atumikie kifungo cha miaka 47 jela kwa mchango wake mauaji ya kimbari.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLq-XvKU5vyHEhxHGWsMD7My3GJUgnFpUb9r4dr4rzBCnUOxAk*ZIimqKDid8*uz84ciuA8LO929j6bQL6Oa3Va*/Kingwendu.jpg?width=650)
KINGWENDU NIKIWA NYUMBANI SIWI KAMA MWANAUME
Na Imelda Mtema/Risasi
Mambo Vipi mpenzi msomaji wa Mpaka Home? Binafsi niko ngangari, bado nazidi kukata mbuga ili kuweza kufika katika kila nyumba ya staa hapa Bongo ili kuweza kukujuza wewe mpenzi msomaji wangu maisha halisi wanayoishi mastaa wetu na pengine kuweza kujifunza kupitia wao. Rashid Mwishehe ‘Kingwendu’ akiwa na familia yake. Wiki hii nilikuwa maeneo ya Kingugi- Mbagala jijini Dar, nyumbani...
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Waziri mkuu wa Uingereza kutoa maelezo ya kuondoa marufuku ya kukaa nyumbani
Boris Johnson kuwafahamisha wabunge kuhusu mpango wake wa kuondoa marufuku ya kutotoka nje, ambao alitangaza Jumapili.
5 years ago
BBCSwahili03 Apr
Virusi vya corona: Wanajeshi wa Rwanda wadaiwa kuwabaka raia wakati wa amri ya kutotoka nje
Askari watano wa Rwanda wamekamatwa na wakazi wa kitongoji cha mji mkuu Kigali kwa kudsaiwa kuwabaka wanawake
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania