Virusi vya corona: Kupingwa kwa amri ya kukaa ndani inayoendelea nchini Marekani
Taarifa kuhusu waandamanaji zimegonga vichwa vya habari ulimwenguni kote, wakipinga marufuku ya kukaa ndani kutokana na sababu za kiuchumi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: Jinsi amri ya kukaa nyumbani ilivyoibua mjadala kwa wafanyakazi wa ndani India
Mwishoni mwa wiki, India iliongeza muda wa marufuku ya kutoka nje katika taifa zima kwa muda wa usiku kwa siku 40 nyingine lakini wafanyakazi wa ndani wanaweza kuwa wanarundi nyumbani kwao.
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya Corona: Maisha ya kutekeleza amri ya kusalia ndani kwa wahamiaji haramu
Takribani wafanyakazi milioni 1 wasiokuwa na vibali Uingereza wanawasiwasi wa kutafuta msaada wakipata corona.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Virusi vya corona: Watu 260wathibitishwa kuwa na virusi ndani ya saa 24 nchini Kenya
Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka na kufikia wagonjwa 4,738
5 years ago
BBCSwahili21 Apr
Virusi vya Corona: Uhamiaji wa nchini Marekani kusitishwa kutokana na janga la corona, asema Trump
Marekani ina jumla ya wagonjwa wa corona 782,159 na vifo 41,816 kutokana na virusi hivyo.
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Virusi vya corona: Nadharia za uongo kuhusu virusi vya corona kati ya Marekani na China
Tangu mlipuko wa virusi vya corona kutokea nadharia zisizo za kweli kuhusu chimbuko na ukubwa wa janga la corona ni miongoni mwa yaliyoenea kwenye mitandao.
5 years ago
BBCSwahili28 May
Virusi vya corona: Rais Kenyatta amkanya mwanae kwa kuvunja amri ya kutotoka nje usiku
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amefichua jinsi mtoto wake wa kiume alivyovunja marufuku ya kutotembea nje iliyowekwa nchini humo.
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Maharusi wamekamatwa Afrika Kusini kwa kufunga ndoa licha ya amri ya kutotoka nje
Magari ya polisi wala sio magari ya kubebea maharusi yapokea waliofunga ndoa kwa kupuuza marufuku ya kukusanyika.
5 years ago
BBCSwahili03 Apr
Virusi vya corona: Mwanariadha wa Kenya Wilson Kipsang akamatwa kwa kulewa wakati wa amri ya kutotoka nje
Aliyekua bingwa wa mbio za marathon nchini Kenya Wilson Kipsang ameachiliwa kwa dhamana baada ya kushtakiwa kwa kukiuka amri ya kutotoka nje
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania