Coronavirus: Serikali ya Rwanda yatoa chakula kwa walioathiriwa na amri ya kukaa nyumbani
Famalia zilizoathiriwa na sheria ya kukaa nyumbani , nchini Rwanda zimeanza kupokea msaada wa Chakula kutoka kwa serikali ya nchi hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: Mwanaume aliyekiuka amri ya kukaa nyumbani aliwa na mamba Rwanda
Mwanaume mmoja nchini Rwanda ambaye alikiuka amri ya kukaa nyumbani ambayo inaendelea kutekelezwa nchini Rwanda na kuamua kwenda kuvua samaki ameuawa na mamba, Meya wa wilaya ya Kamonyi kusini mwa Rwanda ameiambia BBC.
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: Jinsi amri ya kukaa nyumbani ilivyoibua mjadala kwa wafanyakazi wa ndani India
Mwishoni mwa wiki, India iliongeza muda wa marufuku ya kutoka nje katika taifa zima kwa muda wa usiku kwa siku 40 nyingine lakini wafanyakazi wa ndani wanaweza kuwa wanarundi nyumbani kwao.
11 years ago
MichuziSERIKALI YA JAPAN YATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAKIMBIZI NCHINI
5 years ago
BBCSwahili27 Mar
Coronavirus: Idadi ya maambukizi Rwanda yaongezeka licha ya amri ya kutotoka nje
Rwanda imetangaza maambukizi mapya mengine 13 chini ya wiki mbili huku taifa likiwa limefunga mipaka kama juhudi za kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Virusi vya corona: Kupingwa kwa amri ya kukaa ndani inayoendelea nchini Marekani
Taarifa kuhusu waandamanaji zimegonga vichwa vya habari ulimwenguni kote, wakipinga marufuku ya kukaa ndani kutokana na sababu za kiuchumi.
5 years ago
BBCSwahili23 Mar
Coronavirus: Je, virusi vinaweza kukaa kwa muda gani katika vitu kabla kusababisha maambukizi?
Tunaweza kupata maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 kwa kushika vitu ambavyo vimepata vijidudu vya virusi vipya vya corona, lakini haijawa wazi virusi hivi vinaweza kukaa katika vitu au nje ya mwili wa binadamu kwa kipindi cha muda gani?
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14
Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14 kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Waziri wa zamani Rwanda kukaa jela miaka 47
Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR) imeamua waziri mmoja wa zamani wa Rwanda atumikie kifungo cha miaka 47 jela kwa mchango wake mauaji ya kimbari.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania