Coronavirus: Je, virusi vinaweza kukaa kwa muda gani katika vitu kabla kusababisha maambukizi?
Tunaweza kupata maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 kwa kushika vitu ambavyo vimepata vijidudu vya virusi vipya vya corona, lakini haijawa wazi virusi hivi vinaweza kukaa katika vitu au nje ya mwili wa binadamu kwa kipindi cha muda gani?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili24 May
Virusi vya corona: Je kuna hatari gani ya maambukizi unapoogelea baharini na katika mabwawa?
Kwa kuwa hakuna tafiti za moja kwa moja kuhusu uhai wa virusi hivyo katika maji, shirika la Afya duniani WHO limepata mapendekezo yake kupitia ushahidi mwengine wa tafiti za kisayansi kuhusu virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili22 May
Virusi vya Corona: Vitu gani tunaweza kujifunza kwa nchi ambazo zimepambana mapema na corona?
Kuna uwezekano mkubwa wa kutokea kwa wimbi la pili baada ya kulegezwa kwa masharti
5 years ago
BBCSwahili19 Apr
Virusi vya corona: Humchukua muda gani mgonjwa wa virusi kupona?
Mgonjwa mwenye dalili za wastani ana nafasi kubwa ya kupona virusi vya corona kuliko wengine.
9 years ago
Bongo502 Oct
Vitu gani wasanii wa nje wanavyoviangalia kabla ya kukubali kufanya collabo? — Shetta ana majibu
Collabo za kimataifa ni kitu muhimu kwa mwanamuziki yeyote mwenye malengo ya kujitangaza zaidi nje ya mipaka ya nyumbani. Japo sio kazi rahisi kwa msanii kupata collabo na wasanii wakubwa wa nje kama msanii huyo asipozingatia vitu muhimu. Moja ya faida za collabo ni pande zote mbili kupata mashabiki wapya kutoka kila upande wa wasanii […]
5 years ago
BBCSwahili18 Mar
Coronavirus: Je ni hatua gani zimechukuliwa na EU kuzuia maambukizi?
Marufuku ya safari ya siku 30 ambayo haikutarajiwa itawazuia wasafiri wa kigeni, isipokua wenye sababu za kipekee.
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Zaidi ya maambukizi 10,000 kwa siku moja Marekani wakati Uhispania ikiongoza kwa maambukizi ya corona
Takwimu za sasa za ugonjwa wa Covid-19 zaonyesha Uhispania kuongoza huku Marekani maambukizi yaongezeka kwa kasi ndani ya siku moja tu.
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: Mwanamfalme Charles wa Uingereza apata maambukizi ya virusi
Mwanamfalme Charles wa Uingereza amekutwa na maambukizi ya virusi vya corona, kulingana taarifa iliyotolewa na Ufalme
5 years ago
BBCSwahili01 Jun
Virusi vya corona: Watu 'wasiojua wana virusi’ wanavyochangia kuongezeka kwa maambukizi
Wanasayansi wamepata ushahidi wa kushangaza kuhusu jinsi virusi vya corona vinavyosambazwa
5 years ago
BBCSwahili07 Mar
Coronavirus: Unachohitajika kufanya ili kuzuia maambukizi ya virusi hivi
Hatua baada ya hatua ya unachohitajika kufanya ili kuzuia maambukizi ya virusi vya corona
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania