Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Je ni hatua gani zimechukuliwa na EU kuzuia maambukizi?

Marufuku ya safari ya siku 30 ambayo haikutarajiwa itawazuia wasafiri wa kigeni, isipokua wenye sababu za kipekee.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

THBUB: Msamaha kwa Wafungwa ni hatua muhimu kuzuia maambukizi ya Korona Magerezani

Na Mbaraka Kambona,

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) amesema uamuzi wa Mheshimiwa Rais, Dkt. John Pombe Magufuli wa kuwasamehe wafungwa 3973 ni hatua muhimu katika kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya maradhi yanayosababishwa na Virusi vya Korona.

Jaji Mwaimu aliyasema hayo leo Mei 7, 2020 Ofisini kwake jijini Dodoma alipokuwa akitoa mtazamo wake juu ya jitihada za Serikali za kudhibiti kuenea kwa maradhi hatari ya Korona.

Alieleza kuwa msamaha huo ni muhimu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Unachohitajika kufanya ili kuzuia maambukizi ya virusi hivi

Hatua baada ya hatua ya unachohitajika kufanya ili kuzuia maambukizi ya virusi vya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Tahadhari ya daktari aliyeamua kujitenga binafsi kuzuia maambukizi

Dkt Ahmed Kalebi kutoka nchini Kenya ameamua kujitenga na jamaa zake na umma kwa ujumla ili kuepusha uwezekano wa kuwaambukiza watu virusi vya coronavirus.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: DRC kufunga mji wa Kinshasa kuzuia maambukizi wakati

Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza kufunga mji wa Kinshasa kuzuia maambukizi ya coronavirus yaliyofikia 55 sasa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Baadhi ya sehemu za mji wa Wuhan zafunguliwa baada ya kufungwa kuzuia maambukizi China

Watu wanaingia katika mji wa Wuhan wa China ambapo mlipuko wa virusi vya corona ulianza

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Wafungwa zaidi ya 54,000 waachiwa huru Iran kuzuia maambukizi ya virusi vya corona

Msemaji wa idara ya mahakama amesema wafungwa waliachiwa huru baada ya kuthibitishwa hawana virusi vya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Je, virusi vinaweza kukaa kwa muda gani katika vitu kabla kusababisha maambukizi?

Tunaweza kupata maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 kwa kushika vitu ambavyo vimepata vijidudu vya virusi vipya vya corona, lakini haijawa wazi virusi hivi vinaweza kukaa katika vitu au nje ya mwili wa binadamu kwa kipindi cha muda gani?

 

5 years ago

BBCSwahili

Hatua za Italia za kudhibiti coronavirus: Taifa zima kuchukua hatua ya kujitenga.

Matembezi ya raia wa Italia wapatao milioni 60 yamedhibitiwa kutokana na mlipuko. Italia ina idadi kubwa zaidi ya vifo vya virusi vya corona baada ya China.

 

11 years ago

Habarileo

Wataalamu wa VVU wataka mkazo kuzuia maambukizi

WATAALAMU wa maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto, wamesema kama hatua hazitazochukuliwa mapema, maambukizi hayo yataongezeka. Wamesema kama hatua hizo hazitachukuliwa, asilimia 5 hadi 10 ya watoto wachanga wataambukizwa wakati wa ujauzito, asilimia 10-15 ya watoto wataambukizwa wakati wa kuzaliwa na asilimia 5-20 wataambukizwa wakati wa kunyonyeshwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani