Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: DRC kufunga mji wa Kinshasa kuzuia maambukizi wakati

Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza kufunga mji wa Kinshasa kuzuia maambukizi ya coronavirus yaliyofikia 55 sasa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: DRC imeuweka 'isolation' mji wake mkuu Kinshasa

Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza hali ya dharula na kuufunga mji wake mkuu wa Kinshasa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Baadhi ya sehemu za mji wa Wuhan zafunguliwa baada ya kufungwa kuzuia maambukizi China

Watu wanaingia katika mji wa Wuhan wa China ambapo mlipuko wa virusi vya corona ulianza

 

5 years ago

CCM Blog

MJI MKUU WA KINSHASA WAFUNGWA WIKI TATU DRC SABABU YA CORONA

   Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza kufungwa kabisa kwa mji mkuu wa Kinshasa kwa muda wa wiki tatu ili kuzuia maambukizi ya virusi vya corona.
DRC imethibitisha kuwa na wagonjwa 54 mjini Kinshasa na kuwaweka watu 2,000 karantini ambao wamehusiana na wagonjwa hao wa covid-19.

Mji huo wa Kinshasa utafungwa rasmi siku ya Jumamosi ambapo hakutakuwa na mtu atakayeruhusiwa kutoka nje siku zaidi ya siku mbili kwa wiki kwa ajili ya kununua mahitaji muhimu ya chakula.

Wakati ambao mji huo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Zaidi ya maambukizi 10,000 kwa siku moja Marekani wakati Uhispania ikiongoza kwa maambukizi ya corona

Takwimu za sasa za ugonjwa wa Covid-19 zaonyesha Uhispania kuongoza huku Marekani maambukizi yaongezeka kwa kasi ndani ya siku moja tu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Je ni hatua gani zimechukuliwa na EU kuzuia maambukizi?

Marufuku ya safari ya siku 30 ambayo haikutarajiwa itawazuia wasafiri wa kigeni, isipokua wenye sababu za kipekee.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Tahadhari ya daktari aliyeamua kujitenga binafsi kuzuia maambukizi

Dkt Ahmed Kalebi kutoka nchini Kenya ameamua kujitenga na jamaa zake na umma kwa ujumla ili kuepusha uwezekano wa kuwaambukiza watu virusi vya coronavirus.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Unachohitajika kufanya ili kuzuia maambukizi ya virusi hivi

Hatua baada ya hatua ya unachohitajika kufanya ili kuzuia maambukizi ya virusi vya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Wafungwa zaidi ya 54,000 waachiwa huru Iran kuzuia maambukizi ya virusi vya corona

Msemaji wa idara ya mahakama amesema wafungwa waliachiwa huru baada ya kuthibitishwa hawana virusi vya corona

 

11 years ago

BBCSwahili

Kambi ya jeshi yavamiwa Kinshasa DRC

Ufyatulianaji wa risasi umetokea katika kambi ya kijeshi mjini Kinshasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani