Kambi ya jeshi yavamiwa Kinshasa DRC
Ufyatulianaji wa risasi umetokea katika kambi ya kijeshi mjini Kinshasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Dec
Kambi ya jeshi la AU yavamiwa Somalia
Msemaji wa kundi la Al Shabaab anasema kuwa wapiganaji wake waliingia kwa nguvu ndani ya kituo hicho na mapigano yanaendela.
10 years ago
BBCSwahili02 Nov
Kambi ya jeshi yavamiwa Mombasa,Kenya
Wanajeshi katika kambi ya jeshi ya Nyali iliopo mjini Mombasa pwani ya Kenya wamewaua kwa kuwapiga risasi watu 5
11 years ago
BBCSwahili21 Jul
Akaunti ya Twitter ya jeshi la Kenya yavamiwa
Akaunti ya Twitter ya jeshi la Kenya imevamiwa na wanaharakati ambao wanasema wanapinga ufisadi.
5 years ago
BBCSwahili27 Mar
Coronavirus: DRC kufunga mji wa Kinshasa kuzuia maambukizi wakati
Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza kufunga mji wa Kinshasa kuzuia maambukizi ya coronavirus yaliyofikia 55 sasa.
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: DRC imeuweka 'isolation' mji wake mkuu Kinshasa
Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza hali ya dharula na kuufunga mji wake mkuu wa Kinshasa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JeioNtmyO2biPeroMiKav2aIDpxUCae0wowE6xzg8D1Kapl67tgyxg4YqM1*wVSXOsEzICLeFpMWOWaqqj9asaG6rNCc54aC/africabusinesskinshasa.jpg?width=650)
KABURI MOJA WALIMOZIKWA WATU 425 LAGUNDULIKA KINSHASA-DRC
Mji wa Kinshasa-DRC. Vyombo vya habari nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, vimeripoti kuwa, kaburi kaburi la umati ambamo kulizikwa mamia ya watu limegundulika karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Kinshasa. Waziri wa Mambo ya Ndani wa DRC, Evariste Boshab Mabudj Kanali wa RTBFTV wa Kongo ametangaza kuwa, zaidi ya watu 425 walizikwa pamoja ndani ya kaburi hilo. Hata hivyo vyombo vya habari vina shaka juu ya namna ambavyo mauaji...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YjhIBLT6B-R4l1UFGhdMNs1oJGHt*GeEnINePsWEgtIgbpiX7Wa0N8eOC8ESOWTDQTq*eNYedZe77N*3frIDLS4/kikwe1.jpg?width=650)
JK AWASILI KINSHASA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI DRC
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea maua muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Ndjili jijini Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)Â usiku wa kuamkia leo kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo(DRC) Augustin Matata Ponyo Mapon akimkaribisha na kuzungumza na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kuwasili katika mji mkuu...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-41aEfn-kODY/U23Qg6hQaEI/AAAAAAAFgoA/kCpwze6UEcs/s72-c/unnamed+(45).jpg)
JK AWASILI KINSHASA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI DRC
![](http://1.bp.blogspot.com/-41aEfn-kODY/U23Qg6hQaEI/AAAAAAAFgoA/kCpwze6UEcs/s1600/unnamed+(45).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v6ZETo-IuLo/U23QhIFaHmI/AAAAAAAFgn4/UUvGPi7fo1o/s1600/unnamed+(46).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NbLymFUR7n8/Xn2QiXohnxI/AAAAAAAAxMc/Jk6PqqUNdmUNiIy5Haq08qSnrPSoDlbFwCLcBGAsYHQ/s72-c/_111413817_e439e230-6626-498e-a4b8-7f11be2a6a97.jpg)
MJI MKUU WA KINSHASA WAFUNGWA WIKI TATU DRC SABABU YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NbLymFUR7n8/Xn2QiXohnxI/AAAAAAAAxMc/Jk6PqqUNdmUNiIy5Haq08qSnrPSoDlbFwCLcBGAsYHQ/s640/_111413817_e439e230-6626-498e-a4b8-7f11be2a6a97.jpg)
DRC imethibitisha kuwa na wagonjwa 54 mjini Kinshasa na kuwaweka watu 2,000 karantini ambao wamehusiana na wagonjwa hao wa covid-19.
Mji huo wa Kinshasa utafungwa rasmi siku ya Jumamosi ambapo hakutakuwa na mtu atakayeruhusiwa kutoka nje siku zaidi ya siku mbili kwa wiki kwa ajili ya kununua mahitaji muhimu ya chakula.
Wakati ambao mji huo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania