KABURI MOJA WALIMOZIKWA WATU 425 LAGUNDULIKA KINSHASA-DRC
![](http://api.ning.com:80/files/JeioNtmyO2biPeroMiKav2aIDpxUCae0wowE6xzg8D1Kapl67tgyxg4YqM1*wVSXOsEzICLeFpMWOWaqqj9asaG6rNCc54aC/africabusinesskinshasa.jpg?width=650)
Mji wa Kinshasa-DRC. Vyombo vya habari nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, vimeripoti kuwa, kaburi kaburi la umati ambamo kulizikwa mamia ya watu limegundulika karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Kinshasa. Waziri wa Mambo ya Ndani wa DRC, Evariste Boshab Mabudj Kanali wa RTBFTV wa Kongo ametangaza kuwa, zaidi ya watu 425 walizikwa pamoja ndani ya kaburi hilo. Hata hivyo vyombo vya habari vina shaka juu ya namna ambavyo mauaji...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo09 Apr
Maiti 421 zagunduliwa ndani ya kaburi moja huko DRC
![Mfano wa moja ya kaburi lililozikwa watu wengi kwa pamoja](http://gdb.voanews.com/D73F8023-E3B5-41AC-B2B2-3A0C6F9EA87A_w640_r1_s.jpg)
Mjadala mkali umezuka huko Kinshasa kufuatia kuzinduliwa kwa kaburi la pamoja ambalo lilizika watu 421 nje ya mji wa Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo-DRC.
Serikali ilielezea kwamba maiti zilizozikwa humo nyingi ni za watoto wachanga waliofariki wakati wa kuzaliwa kwenye mahospitali kadhaa pamoja na watu wazima ambao familia zao kwa kipindi kirefu walishindwa kugharamia mazishi. Lakini mashirika ya kutetea haki za...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-3fDd94n8Myk/VJu6qyYytiI/AAAAAAAA0QI/xm9xQVxp6C8/s72-c/TATSSSS.jpg)
MAZISHI YA WATU 15 KABURI MOJA HUKO KIGOMA! NI WALE WALIOPATA AJALI YA MELI!
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/12/E80A1091.jpg?zoom=1.5&resize=435%2C300)
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/12/E80A1169.jpg?zoom=1.5&resize=428%2C285)
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Kambi ya jeshi yavamiwa Kinshasa DRC
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YjhIBLT6B-R4l1UFGhdMNs1oJGHt*GeEnINePsWEgtIgbpiX7Wa0N8eOC8ESOWTDQTq*eNYedZe77N*3frIDLS4/kikwe1.jpg?width=650)
JK AWASILI KINSHASA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI DRC
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-41aEfn-kODY/U23Qg6hQaEI/AAAAAAAFgoA/kCpwze6UEcs/s72-c/unnamed+(45).jpg)
JK AWASILI KINSHASA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI DRC
![](http://1.bp.blogspot.com/-41aEfn-kODY/U23Qg6hQaEI/AAAAAAAFgoA/kCpwze6UEcs/s1600/unnamed+(45).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v6ZETo-IuLo/U23QhIFaHmI/AAAAAAAFgn4/UUvGPi7fo1o/s1600/unnamed+(46).jpg)
5 years ago
BBCSwahili27 Mar
Coronavirus: DRC kufunga mji wa Kinshasa kuzuia maambukizi wakati
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: DRC imeuweka 'isolation' mji wake mkuu Kinshasa
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NbLymFUR7n8/Xn2QiXohnxI/AAAAAAAAxMc/Jk6PqqUNdmUNiIy5Haq08qSnrPSoDlbFwCLcBGAsYHQ/s72-c/_111413817_e439e230-6626-498e-a4b8-7f11be2a6a97.jpg)
MJI MKUU WA KINSHASA WAFUNGWA WIKI TATU DRC SABABU YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NbLymFUR7n8/Xn2QiXohnxI/AAAAAAAAxMc/Jk6PqqUNdmUNiIy5Haq08qSnrPSoDlbFwCLcBGAsYHQ/s640/_111413817_e439e230-6626-498e-a4b8-7f11be2a6a97.jpg)
DRC imethibitisha kuwa na wagonjwa 54 mjini Kinshasa na kuwaweka watu 2,000 karantini ambao wamehusiana na wagonjwa hao wa covid-19.
Mji huo wa Kinshasa utafungwa rasmi siku ya Jumamosi ambapo hakutakuwa na mtu atakayeruhusiwa kutoka nje siku zaidi ya siku mbili kwa wiki kwa ajili ya kununua mahitaji muhimu ya chakula.
Wakati ambao mji huo...
10 years ago
Mtanzania14 Apr
Maiti ajali ya basi wazikwa kaburi moja
NA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO
MIILI ya abiria 15 walioteketea kwa moto katika ajali ya basi iliyotokea juzi katika eneo la Ruaha, Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, imezikwa katika kaburi moja.
Ilizikwa jana asubuhi katika makaburi ya Msavu Ruaha wilayani humo.
Abiria hao walifariki dunia baada ya basi la Kampuni ya Nganga walilokuwa wakisafiria lenye namba za usajili T 373 DAH kugongana na lori aina ya Fuso lenye namba za usajili T 164 BKG.
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, John Henjewele, alisema...