Akaunti ya Twitter ya jeshi la Kenya yavamiwa
Akaunti ya Twitter ya jeshi la Kenya imevamiwa na wanaharakati ambao wanasema wanapinga ufisadi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Nov
Kambi ya jeshi yavamiwa Mombasa,Kenya
Wanajeshi katika kambi ya jeshi ya Nyali iliopo mjini Mombasa pwani ya Kenya wamewaua kwa kuwapiga risasi watu 5
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Lowassa aikana akaunti ya Twitter
Waziri mstaafu, Edward Lowassa amekanusha taarifa mbalimbali zinazoenezwa na mitandao ya kijamii kuhusiana na mjadala wa wizi wa fedha za Akaunti ya Tegeta Escrow Sh306 bilioni.
10 years ago
Vijimambo12 Aug
Dk Slaa aikana akaunti ya twitter
![slaa (1)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/slaa-1.jpg)
Wakati kukiwa na taarifa zinazosambaa mtandaoni zikimuhusisha Dk Willibrod Slaa na akaunti ambayo imekuwa ikitoa msimamo wake wa kujitenga na shughuli za siasa pamoja na Ukawa, katibu huyo mkuu wa Chadema amekanusha taarifa hizo akisema hajawahi kuwa na akaunti ya twitter.
Hii ni mara ya pili kwa Dk Slaa kuzungumza akikatakaa kufafanua mambo mbalimbali yanayohusu sakata lake na Chadema, akiahidi kuwa kufanya hivyo baadaye, huku akiweka bayana kuwa hajawahi kuwa na akaunti...
10 years ago
BBCSwahili25 Dec
Kambi ya jeshi la AU yavamiwa Somalia
Msemaji wa kundi la Al Shabaab anasema kuwa wapiganaji wake waliingia kwa nguvu ndani ya kituo hicho na mapigano yanaendela.
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Kambi ya jeshi yavamiwa Kinshasa DRC
Ufyatulianaji wa risasi umetokea katika kambi ya kijeshi mjini Kinshasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2iwCbZwertw/U6F6_qYs5oI/AAAAAAAFrgA/M0ncIHPq8Gg/s72-c/Jerry-Silaa.jpg)
TAARIFA YA MH. JERRY SILAA BAADA YA KUIBIWA AKAUNTI ZAKE ZA FACEBOOK NA TWITTER
![](http://4.bp.blogspot.com/-2iwCbZwertw/U6F6_qYs5oI/AAAAAAAFrgA/M0ncIHPq8Gg/s1600/Jerry-Silaa.jpg)
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/76409000/jpg/_76409441_hacked.jpg)
Kenya defence Twitter account hacked
The Twitter accounts of the Kenya defence forces and its spokesman are hacked by activists protesting about corruption.
10 years ago
BBC30 Jul
Twitter row over Kenya's Obama grass
Nairobi's governor denies hiring grass to impress President Obama as a video emerges appearing to show plants being dug up after his visit to Kenya.
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74603000/jpg/_74603617_kenyaman.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania