Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Akaunti ya Twitter ya jeshi la Kenya yavamiwa

Akaunti ya Twitter ya jeshi la Kenya imevamiwa na wanaharakati ambao wanasema wanapinga ufisadi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kambi ya jeshi yavamiwa Mombasa,Kenya

Wanajeshi katika kambi ya jeshi ya Nyali iliopo mjini Mombasa pwani ya Kenya wamewaua kwa kuwapiga risasi watu 5

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa aikana akaunti ya Twitter

Waziri mstaafu, Edward Lowassa amekanusha taarifa mbalimbali zinazoenezwa na mitandao ya kijamii kuhusiana na mjadala wa wizi wa fedha za Akaunti ya Tegeta Escrow Sh306 bilioni.

 

10 years ago

Vijimambo

Dk Slaa aikana akaunti ya twitter

slaa (1)Dk Willibrord Slaa.
Wakati kukiwa na taarifa zinazosambaa mtandaoni zikimuhusisha Dk Willibrod Slaa na akaunti ambayo imekuwa ikitoa msimamo wake wa kujitenga na shughuli za siasa pamoja na Ukawa, katibu huyo mkuu wa Chadema amekanusha taarifa hizo akisema hajawahi kuwa na akaunti ya twitter.

Hii ni mara ya pili kwa Dk Slaa kuzungumza akikatakaa kufafanua mambo mbalimbali yanayohusu sakata lake na Chadema, akiahidi kuwa kufanya hivyo baadaye, huku akiweka bayana kuwa hajawahi kuwa na akaunti...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kambi ya jeshi la AU yavamiwa Somalia

Msemaji wa kundi la Al Shabaab anasema kuwa wapiganaji wake waliingia kwa nguvu ndani ya kituo hicho na mapigano yanaendela.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kambi ya jeshi yavamiwa Kinshasa DRC

Ufyatulianaji wa risasi umetokea katika kambi ya kijeshi mjini Kinshasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MH. JERRY SILAA BAADA YA KUIBIWA AKAUNTI ZAKE ZA FACEBOOK NA TWITTER

TAHADHARI  Hii ni taarifa kwa umma kwa ujumla kwamba mtu au kikundi cha watu wasiojulikana na wasiokuwa waaminifu wametengeneza au kuingia kwa jinai kwenye anuani yangu ya facebook na Twiter (TWITA) kuanzia tarehe 6 Juni 2014 kupelekea mimi kushindwa kufanya chochote ikiwamo kuandika au kuposti kitu chochote tokea tarehe 7 Juni 2014. Kwa taarifa hii ijulikane kuwa posti zote toka tarehe 7 June 2014 sio zangu au sihusiki nazo. Kwamba watu hao wanaojifanya ni mimi wanatumia maneno au jina...

 

11 years ago

BBC

Kenya defence Twitter account hacked

The Twitter accounts of the Kenya defence forces and its spokesman are hacked by activists protesting about corruption.

 

10 years ago

BBC

Twitter row over Kenya's Obama grass

Nairobi's governor denies hiring grass to impress President Obama as a video emerges appearing to show plants being dug up after his visit to Kenya.

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Why Kenya ‘always wins’ its Twitter wars

Why Kenyan "always wins" its Twitter wars

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani