Dk Slaa aikana akaunti ya twitter
Dk Willibrord Slaa.
Wakati kukiwa na taarifa zinazosambaa mtandaoni zikimuhusisha Dk Willibrod Slaa na akaunti ambayo imekuwa ikitoa msimamo wake wa kujitenga na shughuli za siasa pamoja na Ukawa, katibu huyo mkuu wa Chadema amekanusha taarifa hizo akisema hajawahi kuwa na akaunti ya twitter.
Hii ni mara ya pili kwa Dk Slaa kuzungumza akikatakaa kufafanua mambo mbalimbali yanayohusu sakata lake na Chadema, akiahidi kuwa kufanya hivyo baadaye, huku akiweka bayana kuwa hajawahi kuwa na akaunti...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Lowassa aikana akaunti ya Twitter
10 years ago
Mwananchi12 Aug
Dk Slaa aikana twitter inayomzushia mazito
11 years ago
BBCSwahili21 Jul
Akaunti ya Twitter ya jeshi la Kenya yavamiwa
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2iwCbZwertw/U6F6_qYs5oI/AAAAAAAFrgA/M0ncIHPq8Gg/s72-c/Jerry-Silaa.jpg)
TAARIFA YA MH. JERRY SILAA BAADA YA KUIBIWA AKAUNTI ZAKE ZA FACEBOOK NA TWITTER
![](http://4.bp.blogspot.com/-2iwCbZwertw/U6F6_qYs5oI/AAAAAAAFrgA/M0ncIHPq8Gg/s1600/Jerry-Silaa.jpg)
10 years ago
Vijimambo11 Aug
Dr. Slaa ameibuka tena kupitia Ukurasa wake wa Twitter na kusema mambo mazito kuhusu Lowassa.
![](http://udakuoriginal.com/wp-content/uploads/2015/08/Dr-Wilbroad-Slaa-620x368.jpg)
![](http://udakuoriginal.com/wp-content/uploads/2015/08/Dr-Slaa-Tweet-01.jpg)
![](http://udakuoriginal.com/wp-content/uploads/2015/08/Dr-Slaa-Tweet-02.jpg)
![](http://udakuoriginal.com/wp-content/uploads/2015/08/Dr-Slaa-Tweet-03.jpg)
![](http://udakuoriginal.com/wp-content/uploads/2015/08/Dr-Slaa-Tweet-04.jpg)
![](http://udakuoriginal.com/wp-content/uploads/2015/08/Dr-Slaa-Tweet-05.jpg)
5 years ago
Quartz01 Mar
Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Cheyo aikana ripoti ya Kamati Namba 11
9 years ago
Bongo517 Dec
Davido aikana ‘mimba’ ya Masogange, aeleza kwa urefu
![12356375_1643542822563037_1171860322_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12356375_1643542822563037_1171860322_n-300x194.jpg)
Davido amelazimika kuandika maelezo marefu kwenye Twitter kukanusha kuwa ndiye aliyempa ujauzito Agnes Masogange (japo hatujathibitisha iwapo ni kweli mrembo huyo huyo ana mimba).
Staa huyo wa Nigeria amedai kuwa boyfriend wa Masogange amekuwa akimpigia simu kwa fujo kulalamikia tetesi hizo kuwa huenda akawa analea mimba isiyo yake.
“Sijali kuhusu kile blog zinaandika, ukweli au uongo lakini pindi mtu anaponipigia simu kila muda kutoka nchi nyingine akilia kuhusu mchumba wake kuona habari...
9 years ago
VijimamboMKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA
Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...