Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Slaa aikana akaunti ya twitter

slaa (1)Dk Willibrord Slaa.
Wakati kukiwa na taarifa zinazosambaa mtandaoni zikimuhusisha Dk Willibrod Slaa na akaunti ambayo imekuwa ikitoa msimamo wake wa kujitenga na shughuli za siasa pamoja na Ukawa, katibu huyo mkuu wa Chadema amekanusha taarifa hizo akisema hajawahi kuwa na akaunti ya twitter.

Hii ni mara ya pili kwa Dk Slaa kuzungumza akikatakaa kufafanua mambo mbalimbali yanayohusu sakata lake na Chadema, akiahidi kuwa kufanya hivyo baadaye, huku akiweka bayana kuwa hajawahi kuwa na akaunti...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Lowassa aikana akaunti ya Twitter

Waziri mstaafu, Edward Lowassa amekanusha taarifa mbalimbali zinazoenezwa na mitandao ya kijamii kuhusiana na mjadala wa wizi wa fedha za Akaunti ya Tegeta Escrow Sh306 bilioni.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Slaa aikana twitter inayomzushia mazito

Wakati kukiwa na taarifa zinazosambaa mtandaoni zikimuhusisha Dk Willibrod Slaa na akaunti ambayo imekuwa ikitoa msimamo wake wa kujitenga na shughuli za siasa pamoja na Ukawa, katibu huyo mkuu wa Chadema amekanusha taarifa hizo akisema hajawahi kuwa na akaunti ya twitter.

 

11 years ago

BBCSwahili

Akaunti ya Twitter ya jeshi la Kenya yavamiwa

Akaunti ya Twitter ya jeshi la Kenya imevamiwa na wanaharakati ambao wanasema wanapinga ufisadi.

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MH. JERRY SILAA BAADA YA KUIBIWA AKAUNTI ZAKE ZA FACEBOOK NA TWITTER

TAHADHARI  Hii ni taarifa kwa umma kwa ujumla kwamba mtu au kikundi cha watu wasiojulikana na wasiokuwa waaminifu wametengeneza au kuingia kwa jinai kwenye anuani yangu ya facebook na Twiter (TWITA) kuanzia tarehe 6 Juni 2014 kupelekea mimi kushindwa kufanya chochote ikiwamo kuandika au kuposti kitu chochote tokea tarehe 7 Juni 2014. Kwa taarifa hii ijulikane kuwa posti zote toka tarehe 7 June 2014 sio zangu au sihusiki nazo. Kwamba watu hao wanaojifanya ni mimi wanatumia maneno au jina...

 

10 years ago

Vijimambo

Dr. Slaa ameibuka tena kupitia Ukurasa wake wa Twitter na kusema mambo mazito kuhusu Lowassa.

Jitiririshe hapa chini alichotwitter Dr Slaa juu ya yote yanayoendelea Ukawa.

 

5 years ago

Quartz

Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts

Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts  QuartzRepublican mega-donor buys stake in Twitter and seeks to oust Jack Dorsey – report  The GuardianNew Twitter Investor May Remove Bitcoin Advocate Jack Dorsey as CEO - CoinDesk  CoinDeskElliott looks to remove Jack Dorsey as Twitter chief executive  Financial TimesJack Dorsey: Billionaire Investor ‘Wants to Oust Twitter CEO’ Over His Planned Move to Africa  Sputnik InternationalView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Mwananchi

Cheyo aikana ripoti ya Kamati Namba 11

Mjumbe wa Bunge la Katiba, John Cheyo juzi aliomba mwongozo wa mwenyekiti akidai kuwa taarifa iliyosomwa bungeni na Mwenyekiti wa Kamati namba 11, Anne Kilango ni tofauti na ile waliyoijadili.

 

9 years ago

Bongo5

Davido aikana ‘mimba’ ya Masogange, aeleza kwa urefu

12356375_1643542822563037_1171860322_n

Davido amelazimika kuandika maelezo marefu kwenye Twitter kukanusha kuwa ndiye aliyempa ujauzito Agnes Masogange (japo hatujathibitisha iwapo ni kweli mrembo huyo huyo ana mimba).

12356375_1643542822563037_1171860322_n

Staa huyo wa Nigeria amedai kuwa boyfriend wa Masogange amekuwa akimpigia simu kwa fujo kulalamikia tetesi hizo kuwa huenda akawa analea mimba isiyo yake.

“Sijali kuhusu kile blog zinaandika, ukweli au uongo lakini pindi mtu anaponipigia simu kila muda kutoka nchi nyingine akilia kuhusu mchumba wake kuona habari...

 

9 years ago

Vijimambo

MKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA


Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani