Lowassa aikana akaunti ya Twitter
Waziri mstaafu, Edward Lowassa amekanusha taarifa mbalimbali zinazoenezwa na mitandao ya kijamii kuhusiana na mjadala wa wizi wa fedha za Akaunti ya Tegeta Escrow Sh306 bilioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo12 Aug
Dk Slaa aikana akaunti ya twitter

Wakati kukiwa na taarifa zinazosambaa mtandaoni zikimuhusisha Dk Willibrod Slaa na akaunti ambayo imekuwa ikitoa msimamo wake wa kujitenga na shughuli za siasa pamoja na Ukawa, katibu huyo mkuu wa Chadema amekanusha taarifa hizo akisema hajawahi kuwa na akaunti ya twitter.
Hii ni mara ya pili kwa Dk Slaa kuzungumza akikatakaa kufafanua mambo mbalimbali yanayohusu sakata lake na Chadema, akiahidi kuwa kufanya hivyo baadaye, huku akiweka bayana kuwa hajawahi kuwa na akaunti...
10 years ago
Mwananchi12 Aug
Dk Slaa aikana twitter inayomzushia mazito
11 years ago
BBCSwahili21 Jul
Akaunti ya Twitter ya jeshi la Kenya yavamiwa
11 years ago
Michuzi
TAARIFA YA MH. JERRY SILAA BAADA YA KUIBIWA AKAUNTI ZAKE ZA FACEBOOK NA TWITTER

10 years ago
Vijimambo
LOWASSA AKANUSHA KUMILIKI AKAUNTI YA TWITA

Kwa kutumia ukurasa huo, mtu huyo amekuwa akiandika masuala kadhaa kuhusiana na suala hilo la escrow account na kile kinachoendelea bungeni, ikionekana kama ni kauli ya Mh Lowassa.
Tunawaomba wananchi kupuuza yote yanayoandikwa katika ukurasa huo.Watanzania tuachane na tabia ya matumizi ya...
10 years ago
Vijimambo11 Aug
Dr. Slaa ameibuka tena kupitia Ukurasa wake wa Twitter na kusema mambo mazito kuhusu Lowassa.






5 years ago
Quartz01 Mar
Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts
11 years ago
Mwananchi04 Sep
Cheyo aikana ripoti ya Kamati Namba 11
9 years ago
Bongo517 Dec
Davido aikana ‘mimba’ ya Masogange, aeleza kwa urefu

Davido amelazimika kuandika maelezo marefu kwenye Twitter kukanusha kuwa ndiye aliyempa ujauzito Agnes Masogange (japo hatujathibitisha iwapo ni kweli mrembo huyo huyo ana mimba).
Staa huyo wa Nigeria amedai kuwa boyfriend wa Masogange amekuwa akimpigia simu kwa fujo kulalamikia tetesi hizo kuwa huenda akawa analea mimba isiyo yake.
“Sijali kuhusu kile blog zinaandika, ukweli au uongo lakini pindi mtu anaponipigia simu kila muda kutoka nchi nyingine akilia kuhusu mchumba wake kuona habari...