LOWASSA AKANUSHA KUMILIKI AKAUNTI YA TWITA

Toka bunge limeanza mjadala wa kadhia ya Escrow account,kuna mtu au kikundi kwa sababu wanazozijua wao wenyewe wameanzisha akaunti ya mtandao wa Twitter kwa jina la Edward Ngoyai Lowassa,@edwardlowasa.
Kwa kutumia ukurasa huo, mtu huyo amekuwa akiandika masuala kadhaa kuhusiana na suala hilo la escrow account na kile kinachoendelea bungeni, ikionekana kama ni kauli ya Mh Lowassa.
Tunawaomba wananchi kupuuza yote yanayoandikwa katika ukurasa huo.Watanzania tuachane na tabia ya matumizi ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
DIAMOND AKANUSHA KUPEWA MILIONI 500 NA LOWASSA ILI AMPIGIE KAMPENI....ASEMA TAARIFA HIZO ZINALENGO LA KUMCHAFUA LOWASSA

Alisema hata hivyo Diamond yupo tayari kumfanyia kampeni mgombea yeyote...
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Lowassa aikana akaunti ya Twitter
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Watu binafsi kumiliki treni
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Arusha yaongoza kumiliki bastola
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Aina za kampuni unazoweza kumiliki
10 years ago
BBCSwahili19 Jan
Matajiri kumiliki mali zaidi
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Watano wadaiwa kumiliki bunduki
11 years ago
GPL
UNAFAHAMU NDOA NI SAWA NA KUMILIKI GARI?
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Mengi atetea wazawa kumiliki gesi