UNAFAHAMU NDOA NI SAWA NA KUMILIKI GARI?
![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXty-UJAH9TfmtjgW9Q5W8ZvMaG0aUnOqypGu-s6a0maRkI6sQfbYEUQKlB*68TJbsNS7iA2zzqfkyR9bVJ4mAI0/mahaba.jpg?width=650)
HABARI wapendwa wasomaji wa safu hii. Kesho ni sikukuu ya Krismas, nadhani wengi mmefanya maandalizi mazuri ili watoto wafurahi kwa kujumuika na wenzao katika michezo mbalimbali baada ya ibada. Na siyo vibaya kwa nyinyi wakristo, kutualika hata sisi tusiokuwa wakristo ili tujumuike pamoja katika kumtukuza Mungu, kwani ndiyo kimbilio letu sote. Kichwa cha habari hapo juu kinazungumza kila kitu kuhusu uhusiano wa kimapenzi au...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KGb8vxx0YmIMYwp237o6uEuLoFwHEhk49Qd28p8LiQDtQxw*pbiJ-JhV-XjarlzfjVzxCikR8J1PTEtmFLjBvYppPTRGkox/devota.jpg?width=650)
MIAKA 20 YA NDOA, DEVOTA AZAWADIWA GARI
10 years ago
Bongo527 Dec
Mashabiki walumbana kuhusu video ya Alikiba ‘Mwana’, kama ni sawa au si sawa kwa video kutofuata maudhui ya wimbo
10 years ago
Bongo Movies01 Oct
Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao
NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...
10 years ago
Vijimambo17 Dec
UNAFAHAMU DAWA YA KUTENDWA?
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBu7MrbtfyrpeBNLC1McDcpiwZRnyw8a1r88FBuMBKeO9br62HWXx6EOrUNFgascBOR4j2j7jBwGaIQC7yV4ryQJ/couplesproblems.jpg?width=650)
HABARI zenu wapendwa wasomaji wa safu hii. Nimefurahi tumekutana tena kwa mara nyingine ili kupeana mawili matatu yanayohusu mahaba, hasa kwa kuwa baada ya kazi ngumu za kujenga taifa letu, tunahitaji nafasi kwa ajili ya kupumzisha mwili kiakili.
Juzi nilikuwa na rafiki yangu mmoja tumekaa sehemu tunabadilishana mawazo, akanipa simulizi ambayo imezaa mada hii. Alinisimulia mkasa wake kuwa anahisi mke wake anatoka na mtu mwingine, kwa sababu baada ya kuishika simu yake kwa siri na kuipekua,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBviy35YmQCKjl2VoYLPIE68QLLTQmDhJLu7HB-deLAPijOdJWiFAmPFpkVyac0-NIk8VoHFcaSfi2sdABFrrC6j/xxlv.jpg?width=650)
UNAFAHAMU DAWA YA KUTENDWA?
9 years ago
BBCSwahili13 Oct
Je unafahamu kuwa panya wanafaida ?
9 years ago
BBCSwahili22 Sep
Video:Je unafahamu mchezo wa raga
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Unafahamu nini kuhusu ujamzito?
NIMESEMA mara nyingi kuwa kama unataka kujifunza kuhusua ujauzito usiandikie mate wakati wino upo. Ukitaka kujifunza mambo ya ujauzito wasikilize na wafuatilie wajawazito. Kila mwezi nitaandika makala kuhusu mama mmoja...