Video:Je unafahamu mchezo wa raga
Huku kombe la dunia la mchezo wa raga ukiendelea,watu wengi hawafahamu sheria ya mchezo huu,tazama video hii
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili13 Feb
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Afariki akicheza mchezo wa video
9 years ago
Bongo521 Sep
Video: Nonini ft. Collo — Mchezo na Ganji
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Paul Makonda kaushtukia huu mchezo wa ufisadi Kinondoni, maamuzi yake je?…(+Video)
Kasi ya Rais John Pombe Magufuli kuhakikisha kila mtu anafanya kazi kwa uadilifu imeendelea kushika kasi hata kwa baadhi ya viongozi wa sekta mbalimbali, na leo Dec 17 2015 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Dc Paul Makonda amekutana na waandishi wa habari na kuzungumzia maamuzi aliyo yafanya kwa wakandarasi waliotaka kutumia vibaya fedha za umma. […]
The post Paul Makonda kaushtukia huu mchezo wa ufisadi Kinondoni, maamuzi yake je?…(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo514 Nov
Video: Meneja na mke wa Mabeste, Lisa apanga kuwakutanisha mastaa wa kike kwenye mchezo wa ‘Rede’
![Lisa Mabeste](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Lisa-Mabeste-300x194.jpg)
Kama wewe ni msichana una miaka zaidi ya 25 kwa sasa na enzi za utoto wako hukuwahi kucheza mchezo wa ‘Rede’, utakuwa ulikosa starehe kubwa.
Rede ni mchezo waliokuwa wakicheza wasichana ambapo wawili hukaa huku na kule na mmoja kuwa katikati akijitahidi kuijaza chupa mchanga huku akikwepa mpira anaopondwa na wawili hao.
Meneja na mke wa rapper Mabeste, Lisa Karl Fickenscher amesema anataka kuurudisha mchezo huo kwa kuandaa tamasha litakalohusisha mastaa mbalimbali wa kike na mashabiki...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBviy35YmQCKjl2VoYLPIE68QLLTQmDhJLu7HB-deLAPijOdJWiFAmPFpkVyac0-NIk8VoHFcaSfi2sdABFrrC6j/xxlv.jpg?width=650)
UNAFAHAMU DAWA YA KUTENDWA?
10 years ago
Vijimambo17 Dec
UNAFAHAMU DAWA YA KUTENDWA?
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBu7MrbtfyrpeBNLC1McDcpiwZRnyw8a1r88FBuMBKeO9br62HWXx6EOrUNFgascBOR4j2j7jBwGaIQC7yV4ryQJ/couplesproblems.jpg?width=650)
HABARI zenu wapendwa wasomaji wa safu hii. Nimefurahi tumekutana tena kwa mara nyingine ili kupeana mawili matatu yanayohusu mahaba, hasa kwa kuwa baada ya kazi ngumu za kujenga taifa letu, tunahitaji nafasi kwa ajili ya kupumzisha mwili kiakili.
Juzi nilikuwa na rafiki yangu mmoja tumekaa sehemu tunabadilishana mawazo, akanipa simulizi ambayo imezaa mada hii. Alinisimulia mkasa wake kuwa anahisi mke wake anatoka na mtu mwingine, kwa sababu baada ya kuishika simu yake kwa siri na kuipekua,...
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Je, unafahamu maana ya rangi hizi?
9 years ago
BBCSwahili13 Oct
Je unafahamu kuwa panya wanafaida ?