Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Nonini ft. Collo — Mchezo na Ganji

Hatimaye Nonini ameachia video ya collabo yake na Collo ‘Mchezo na Ganji’, ambayo audio yake ilitoka mwezi uliopita. Katika video hii ameonekana pia mwimbaji Avril wa Kenya kwenye Intro. Wimbo umetayarishwa na Dillie wa Johari Cleft Studios, na video imeongozwa na Willie Wusu. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Video: Tazama kionjo cha video mpya ya Nonini aliyomshirikisha Chege — Wanajishuku

Rapper wa Kenya, Hubert “Nonini” Nakitare au kama anavyopenda kujiita Godfather wa Genge, anakaribia kuachia video mpya ya wimbo uitwao ‘Wanajishuku’ aliomshirikisha staa wa Tanzania, Chege Chigunda. Chege na Nonini ni washkaji wa muda mrefu ambao wamekuwa wakishirikiana katika kazi mbalimbali, na hii ni moja ya kazi ambazo wamekuwa wakifanya. Kwenye wimbo huu pia ameshirikishwa […]

 

10 years ago

Bongo5

Video: Nonini Ft Chege & Dj Pierra – Wanajishuku

Screen-Shot-2015-11-02-at-5.55.46-PM

Kenyan rap legend also known as Nonini MgengeTrue has been on a roll this Month. Barely a few weeks after he released Mchezo Na Ganji yet another Brand new Video dubbed “WANAJISHUKU” is here.
“Wanajishuku” his latest track features TMK Wanaume’s Chege and Kenya’s number one deejay DJ Pierra Mackena. “Wanajishuku” is Nonini’s second collaboration with a Tanzanian artist Chege after Kila Mmoja became a massive success in East Africa. The chemistry between the two East African Artists is...

 

10 years ago

BBCSwahili

Afariki akicheza mchezo wa video

Mtu moja mwenye umri wa miaka 32 huko Taiwan amefariki baada ya kucheza michezo ya mitandaoni,

 

10 years ago

BBCSwahili

Video:Je unafahamu mchezo wa raga

Huku kombe la dunia la mchezo wa raga ukiendelea,watu wengi hawafahamu sheria ya mchezo huu,tazama video hii

 

10 years ago

Mtanzania

Nonini asaidia albino

noniniNA BADI MCHOMOLO

MKALI wa wimbo wa ‘Wanajishuku’ aliomshirikisha Dj Pierra Makena na Chege kutoka Tanzania, Hubert Nakitare ‘Nonini’  wa Kenya, ametumia kiasi kikubwa cha fedha zake kununua nguo na miwani kwa ajili ya kuwasaidia albino.

Hata hivyo, msanii huyo amewataka wasanii wenzake na watu maarufu wajitokeze kuwasaidia walemavu badala ya kutumia fedha zao katika matukio ya ulevi na anasa nyingine.

“Watu maarufu wanatakiwa wajitolee kwa jamii zao, wakiwemo walemavu, si kutumia fedha zao...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Nonini Ft Didge — Tudunde

Today we release a brand new one from Nonini (MgengeTrue) produced by Beat Ya Keggah and Mixed and Mastered by Musyoka! In this track Nonini has done a follow up of the classic track Genge love which was all about the ladies. This time round he blends with the king of Swahili R&B Didge Soul […]

 

9 years ago

MillardAyo

Paul Makonda kaushtukia huu mchezo wa ufisadi Kinondoni, maamuzi yake je?…(+Video)

Kasi ya Rais John Pombe Magufuli kuhakikisha kila mtu anafanya kazi kwa uadilifu imeendelea kushika kasi hata kwa baadhi ya viongozi wa sekta mbalimbali, na leo Dec 17 2015 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Dc Paul Makonda amekutana na waandishi wa habari na kuzungumzia maamuzi aliyo yafanya kwa wakandarasi waliotaka kutumia vibaya fedha za umma. […]

The post Paul Makonda kaushtukia huu mchezo wa ufisadi Kinondoni, maamuzi yake je?…(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

Brand New Single Nonini ft Chege -KukaChora

Kuna Projects mingi nimefanya na ndugu yangu Chege Chigunda toka long time. Na 2015 hi mojo kati ya project Kadhaa tumefanya pamoja ndani ya Studio ya Bruce Odhiambo (Johari Cleff). Hii nyimbo mpya yaitwa Kukachora ambaye producer ni Dillie na kisha imekua mixed and mastered by Musyoka of Decimal Records.

Nyimbo yenyewe inazungumza na jamii sana sana vijana kueza kuwaelimisha kuhusu kupanga au kuPlan maisha vizuri kwa ufupi Kukachora.

People sometimes take you for granted with steps you make...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Weusi f/ Navio, Naziz, Collo & Rabbit – Gere (East African Remix)

Weusi wameachia remix ya hit single yao ‘Gere’ ambapo wamewakusanya miongoni rappers wakali wa Kenya na Uganda. Walioshirikishwa ni pamoja na Naziz, Collo na Rabbit wa Kenya na Navio wa Uganda. Pia kwenye remix hii utamsikia Lord Eyez.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani