Paul Makonda kaushtukia huu mchezo wa ufisadi Kinondoni, maamuzi yake je?…(+Video)
Kasi ya Rais John Pombe Magufuli kuhakikisha kila mtu anafanya kazi kwa uadilifu imeendelea kushika kasi hata kwa baadhi ya viongozi wa sekta mbalimbali, na leo Dec 17 2015 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Dc Paul Makonda amekutana na waandishi wa habari na kuzungumzia maamuzi aliyo yafanya kwa wakandarasi waliotaka kutumia vibaya fedha za umma. […]
The post Paul Makonda kaushtukia huu mchezo wa ufisadi Kinondoni, maamuzi yake je?…(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 Feb
Haya matano ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Sauti yake kutoka @PB CloudsFM
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/1890627_780321122049682_415026655172911331_o.jpg?resize=546%2C364)
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA, AONGOZA MAMIA MAZISHI YA BABA YAKE MSANII STEVE NYERERE
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA MASHINDANO KINONDONI CUP JIJINI DAR ES SALAAM , AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 138
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA KUSOMESHA YATIMA 12
Hayo aliyabainisha Dar es Salaam jana wakati Kampuni ya Simu za mkononi Zantel ikikabidhi kisima cha maji safi katika kituo cha kulea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu cha Watoto Wetu Tanzania kilichopo Mbezi Suka jijini Dar es Salaam.
Watoto hao 12, ambapo 8 kati yao wana elimu ngazi ya sekondari huku 3 wakitakiwa...
10 years ago
MichuziPAUL MAKONDA AUNDA KAMATI YA KUSHUSHUGHULIKIA MIGOGORO YA ARDHI KINONDONI
Mkuu wa Wilaya la KinondoniMkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema kuwa wilaya ya Kinondoni inakabiliwa na changamoto migogoro ya ardhi ambayo inatakiwa kila mtu ambaye amenyimwa haki ya ardhi watapata kutokana na utaratibu uliopo.
Makonda aliyasema hayo hivi karibuni wakati ziara ya kutembelea wilaya hiyo, Makonda alisema asili ya migogoro hii inatokana hasa na mgongano wa uhalali wa umiliki pamoja na uvamizi wa maeneo ya wazi yaliyotengwa maalumu kwa shughuli za...
10 years ago
CloudsFM01 Apr
Paul Makonda kusaka vipaji kupitia Kinondoni Talent Search
Akizungumza na waandishi wa leo alisema; “Kinondoni Talent Search ni mpango wenye lengo kuu la kuwatambua vijana waishio kwenye wilaya ya Kinondoni wenye vipaji vya kuimba, Kuchekesha ambao wengi wao wapo katika mazingira magumu ya kiuchumi jambo linalowafanya...
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA, APOKEA VIFAA VYA MICHEZO KUTOKA KWA WADAU WA MICHEZO NCHINI KWA AJILI YA MASHINDANO YA KINONDONI CUP
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IfTy5tV7J9k/VOtmI5vPKlI/AAAAAAAHFeU/zoPXEMkaTGg/s72-c/unnamed.jpg)
Paul Makonda aapishwa leo kuwa mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-IfTy5tV7J9k/VOtmI5vPKlI/AAAAAAAHFeU/zoPXEMkaTGg/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 May
DC wa Kinondoni, Paul Makonda azungumzia maafikiano yaliyofikiwa kumaliza mgomo wa madereva nchini
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maafikiano hayo.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maafikiano hayo.
Wanahabari wakisubiri kuchukua taarifa hiyo.
Na Dotto Mwaibale
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amesema Serikali imetimiza masharti ya madereva kwa kuunda kamati ya kushughulikia kero na matatizo ya madereva ambayo inatarajia kuanza kazi yake Ijumaa.
Hatua...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10