MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA, AONGOZA MAMIA MAZISHI YA BABA YAKE MSANII STEVE NYERERE
Marehemu Francis Festus Mengele, enzi za uhai wake.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu Francis Festus Mengele.
Shangazi wa Msanii, Steve Nyerere, Grace Mengele (katikati), akiwa na wadogo zake Steve Nyerere wakati akiwasili makaburi ya Kinondoni kwa mazishi ya mpendwa wao, Francis Mengele.
Watoto wa marehemu na dada zake wakiwa kwenye ibada ya maziko makaburi ya Kinondoni.
Ibada ya maziko ikiendelea.
Hali ilivyokuwa wakati wa mazishi.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAKONDA AONGOZA MAMIA MAZISHI YA BABA YAKE MSANII STEVE NYERERE
BOFYA HAPA KUONA PICHA...
10 years ago
GPLPAUL MAKONDA AONGOZA MAMIA MAZISHI YA BABA WA STEVE NYERERE
10 years ago
Dewji Blog16 Jun
DC Makonda aongoza mamia mazishi ya Baba wa msanii Steve Nyerere
Marehemu Francis Festus Mengele, enzi za uhai wake.
Shangazi wa Msanii, Steve Nyerere, Grace Mengele (katikati), akiwa na wadogo zake Steve Nyerere wakati akiwasili makaburi ya Kinondoni kwa mazishi ya mpendwa wao, Francis Mengele.
Watoto wa marehemu na dada zake wakiwa kwenye ibada ya maziko makaburi ya Kinondoni.
Ibada ya maziko ikiendelea.
Hali ilivyokuwa...
10 years ago
Vijimambo27 Feb
Haya matano ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Sauti yake kutoka @PB CloudsFM
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/1890627_780321122049682_415026655172911331_o.jpg?resize=546%2C364)
10 years ago
Bongo Movies14 Jun
Picha: Mazishi ya Baba wa Msanii Steve Nyerere
Hizi ni baadhi ya picha za mazishi ya baba yake staa wa Bongo Movies, Steve Nyerere yaliyofanyika leo makaburi ya Kinondoni. Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihibidiwe Amein.
Picha kwa hisani ya Le Mutuz on Instagram
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA KUSOMESHA YATIMA 12
Hayo aliyabainisha Dar es Salaam jana wakati Kampuni ya Simu za mkononi Zantel ikikabidhi kisima cha maji safi katika kituo cha kulea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu cha Watoto Wetu Tanzania kilichopo Mbezi Suka jijini Dar es Salaam.
Watoto hao 12, ambapo 8 kati yao wana elimu ngazi ya sekondari huku 3 wakitakiwa...
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA MASHINDANO KINONDONI CUP JIJINI DAR ES SALAAM , AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 138
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IfTy5tV7J9k/VOtmI5vPKlI/AAAAAAAHFeU/zoPXEMkaTGg/s72-c/unnamed.jpg)
Paul Makonda aapishwa leo kuwa mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-IfTy5tV7J9k/VOtmI5vPKlI/AAAAAAAHFeU/zoPXEMkaTGg/s1600/unnamed.jpg)