Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nonini asaidia albino

noniniNA BADI MCHOMOLO

MKALI wa wimbo wa ‘Wanajishuku’ aliomshirikisha Dj Pierra Makena na Chege kutoka Tanzania, Hubert Nakitare ‘Nonini’  wa Kenya, ametumia kiasi kikubwa cha fedha zake kununua nguo na miwani kwa ajili ya kuwasaidia albino.

Hata hivyo, msanii huyo amewataka wasanii wenzake na watu maarufu wajitokeze kuwasaidia walemavu badala ya kutumia fedha zao katika matukio ya ulevi na anasa nyingine.

“Watu maarufu wanatakiwa wajitolee kwa jamii zao, wakiwemo walemavu, si kutumia fedha zao...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Music: Nonini Ft Didge — Tudunde

Today we release a brand new one from Nonini (MgengeTrue) produced by Beat Ya Keggah and Mixed and Mastered by Musyoka! In this track Nonini has done a follow up of the classic track Genge love which was all about the ladies. This time round he blends with the king of Swahili R&B Didge Soul […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Nonini ft. Collo — Mchezo na Ganji

Hatimaye Nonini ameachia video ya collabo yake na Collo ‘Mchezo na Ganji’, ambayo audio yake ilitoka mwezi uliopita. Katika video hii ameonekana pia mwimbaji Avril wa Kenya kwenye Intro. Wimbo umetayarishwa na Dillie wa Johari Cleft Studios, na video imeongozwa na Willie Wusu. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram […]

 

10 years ago

Vijimambo

Brand New Single Nonini ft Chege -KukaChora

Kuna Projects mingi nimefanya na ndugu yangu Chege Chigunda toka long time. Na 2015 hi mojo kati ya project Kadhaa tumefanya pamoja ndani ya Studio ya Bruce Odhiambo (Johari Cleff). Hii nyimbo mpya yaitwa Kukachora ambaye producer ni Dillie na kisha imekua mixed and mastered by Musyoka of Decimal Records.

Nyimbo yenyewe inazungumza na jamii sana sana vijana kueza kuwaelimisha kuhusu kupanga au kuPlan maisha vizuri kwa ufupi Kukachora.

People sometimes take you for granted with steps you make...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Nonini Ft Chege & Dj Pierra – Wanajishuku

Screen-Shot-2015-11-02-at-5.55.46-PM

Kenyan rap legend also known as Nonini MgengeTrue has been on a roll this Month. Barely a few weeks after he released Mchezo Na Ganji yet another Brand new Video dubbed “WANAJISHUKU” is here.
“Wanajishuku” his latest track features TMK Wanaume’s Chege and Kenya’s number one deejay DJ Pierra Mackena. “Wanajishuku” is Nonini’s second collaboration with a Tanzanian artist Chege after Kila Mmoja became a massive success in East Africa. The chemistry between the two East African Artists is...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diwani asaidia uji shuleni

DIWANI wa Levelosi, Ephata Nanyaro (CHADEMA), ametoa msaada wa unga, mahindi na sukari kwenye Shule ya Msingi Levelosi ili kuwawezesha wanafunzi kupata uji nyakati za mchana baada ya serikali kushindwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Diwani CCM asaidia uchaguzi wa mitaa

Diwani wa Kata ya Vijibweni (CCM) , Suleiman Methew amekabidhi msaada wa pikipiki mbili zenye thamani ya zaidi ya Sh3 milioni ili kusaidia harakati za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika kata hiyo.

 

9 years ago

Bongo Movies

Wolper asaidia wananchi wa Golani Kimara

wolper2

Wolper asaidia wananchi wa Golani Kimara

“Kuanzia mwaka juzi nimekua na desturi ya kushirikiana na watu siku yangu muhimu ya kuzaliwa
Mwaka juzi nilipata nafasi ya kukaa na watoto yatima na mwaka jana kituo cha wazee
Mwaka huu nimeamua kugusa maisha ya watu wengi zaidi
Kwahivyo kwa kutafakari jinsi gani tatizo la maji ni kubwa, nimeamua kutumia kidogo nilichonacho kujenga kisima chenye uwezo wa kuhudumia watu 3500 katika shule ya msingi eneo la Golani Kimara.
Wananchi wa huku wamekua...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Koka asaidia vikundi vya ujasiriamali

MBUNGE wa Kibaha Mjini, Silvestry Koka, ametumia zaidi ya sh milioni 150 kuwezesha vikundi vya ujasiriamali vilivyopo katika jimbo lake, ikiwa ni pamoja na vikundi vya wanawake na vijana. Koka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani