Nonini asaidia albino
NA BADI MCHOMOLO
MKALI wa wimbo wa ‘Wanajishuku’ aliomshirikisha Dj Pierra Makena na Chege kutoka Tanzania, Hubert Nakitare ‘Nonini’ wa Kenya, ametumia kiasi kikubwa cha fedha zake kununua nguo na miwani kwa ajili ya kuwasaidia albino.
Hata hivyo, msanii huyo amewataka wasanii wenzake na watu maarufu wajitokeze kuwasaidia walemavu badala ya kutumia fedha zao katika matukio ya ulevi na anasa nyingine.
“Watu maarufu wanatakiwa wajitolee kwa jamii zao, wakiwemo walemavu, si kutumia fedha zao...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo526 Jan
New Music: Nonini Ft Didge — Tudunde
9 years ago
Bongo521 Sep
Video: Nonini ft. Collo — Mchezo na Ganji
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-w7Q6EEv_QZc/VaOvA_0DtJI/AAAAAAADxxU/2hUGIpHXxP0/s72-c/IMG_4212.jpg)
Brand New Single Nonini ft Chege -KukaChora
Nyimbo yenyewe inazungumza na jamii sana sana vijana kueza kuwaelimisha kuhusu kupanga au kuPlan maisha vizuri kwa ufupi Kukachora.
People sometimes take you for granted with steps you make...
9 years ago
Bongo504 Nov
Video: Nonini Ft Chege & Dj Pierra – Wanajishuku
![Screen-Shot-2015-11-02-at-5.55.46-PM](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Screen-Shot-2015-11-02-at-5.55.46-PM-300x194.png)
Kenyan rap legend also known as Nonini MgengeTrue has been on a roll this Month. Barely a few weeks after he released Mchezo Na Ganji yet another Brand new Video dubbed “WANAJISHUKU” is here.
“Wanajishuku” his latest track features TMK Wanaume’s Chege and Kenya’s number one deejay DJ Pierra Mackena. “Wanajishuku” is Nonini’s second collaboration with a Tanzanian artist Chege after Kila Mmoja became a massive success in East Africa. The chemistry between the two East African Artists is...
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Diwani asaidia uji shuleni
DIWANI wa Levelosi, Ephata Nanyaro (CHADEMA), ametoa msaada wa unga, mahindi na sukari kwenye Shule ya Msingi Levelosi ili kuwawezesha wanafunzi kupata uji nyakati za mchana baada ya serikali kushindwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/EsPY3sLGa6o/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Diwani CCM asaidia uchaguzi wa mitaa
9 years ago
Bongo Movies16 Dec
Wolper asaidia wananchi wa Golani Kimara
Wolper asaidia wananchi wa Golani Kimara
“Kuanzia mwaka juzi nimekua na desturi ya kushirikiana na watu siku yangu muhimu ya kuzaliwa
Mwaka juzi nilipata nafasi ya kukaa na watoto yatima na mwaka jana kituo cha wazee
Mwaka huu nimeamua kugusa maisha ya watu wengi zaidi
Kwahivyo kwa kutafakari jinsi gani tatizo la maji ni kubwa, nimeamua kutumia kidogo nilichonacho kujenga kisima chenye uwezo wa kuhudumia watu 3500 katika shule ya msingi eneo la Golani Kimara.
Wananchi wa huku wamekua...
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Koka asaidia vikundi vya ujasiriamali
MBUNGE wa Kibaha Mjini, Silvestry Koka, ametumia zaidi ya sh milioni 150 kuwezesha vikundi vya ujasiriamali vilivyopo katika jimbo lake, ikiwa ni pamoja na vikundi vya wanawake na vijana. Koka...