Koka asaidia vikundi vya ujasiriamali
MBUNGE wa Kibaha Mjini, Silvestry Koka, ametumia zaidi ya sh milioni 150 kuwezesha vikundi vya ujasiriamali vilivyopo katika jimbo lake, ikiwa ni pamoja na vikundi vya wanawake na vijana. Koka...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
DKT FENELLA MUKANGARA AKUTANA NA VIKUNDI VYA UJASIRIAMALI NA KUNADI SERA ZAKE.


9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Vikundi vya ushindi ‘TeamMagufuli’ Mkoani Singida vyatakiwa kujikita kwenye ujasiriamali!
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Singida Martin Lissu akizungumza kwenye hafla maalumu ya kuwapongeza wana-CCM waliojitolea bila malipo wakati wa uchaguzi mkuu, wakijulikana kwa jina la ‘Team Magufuli ’ na kufanikiwa kutetea majimbo saba ya CCM wakati wa uchaguzi mkuu uliomalizika Oktoba 25 mwaka huu na John Magufuli kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .(PICHA NA HILLARY SHOO).
Na Hillary Shoo
[SINGIDA] Vikundi vilivyoanzishwa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu kwa lengo...
11 years ago
Tanzania Daima08 Aug
Ataka elimu ya ujasiriamali wa vikundi
SERIKALI imetakiwa kuvipa kipaumbele vikundi vya ujasiriamali ikiwa na pamoja na kuwapatia elimu ya mafunzo mara kwa mara. Ushauri huo ulitolewa na Mwalimu wa Vikoba, Rukia Mwinyi wakati wa mafunzo ya wajasiliamali...
10 years ago
Habarileo31 Dec
Veta kutoa elimu ya ujasiriamali kwa vikundi
HALMASHAURI ya Manispaa ya Morogoro inatarajia kuingia katika makubaliano na Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Morogoro kwa ajili ya kutoa elimu ya mafunzo kwa vikundi vya wajasiriamali wadogo ili kujenga uwezo wa kuendesha shughuli zao kwa lengo la kuwaletea tija.
10 years ago
Mwananchi19 Nov
UJASIRIAMALI: Mitaji midogo kikwazo kwa vikundi
11 years ago
Habarileo10 Mar
Msajili akerwa na vikundi vya ulinzi vya Chadema, CCM
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa imekiri kukerwa na vikundi vya ulinzi vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
10 years ago
StarTV22 Aug
Polisi yapiga marufuku vikundi vya ulinzi vya vyama

Kamishna wa Polisi–Operesheni na Mafunzo, Paul Chagonja
Polisi nchini imepiga marufuku vikundi vya ulinzi vya vyama vya kisiasa , vyenye mwelekeo wa kijeshi kufanya kazi za ulinzi hadharani kwa madai kuwa vinaingilia majukumu yao.Onyo hilo lilitolewa jana na Kamishna wa Polisi–Operesheni na Mfunzo, Paul Chagonja wakati akizungumza na waaandishi wa habari Makao Makuu ya Polisi, Dar es Salaam.
Chagonja alivitaja vikundi hivyo na vyama vyao kwenye mabano kuwa ni Green Guard (CCM),...
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
SEMA wavishauri vikundi vya kuweka na kukopa (SACCOS) vya Iramba Singida kuanzisha benki yao
Meneja mkuu wa shirika lisilo la kiserikali la SEMA, Ivo Manyanku, akizungumza kwenye hafla ya sherehe ya kikundi cha kuweka na kukopa cha Tuinuane kijiji cha Kisonga wilaya ya Iramba, kumaliza mwaka kwa mafanikio. Sherehe hiyo iliyofanyikia kwenye ofisi ya kikundi hicho.