Msajili akerwa na vikundi vya ulinzi vya Chadema, CCM
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa imekiri kukerwa na vikundi vya ulinzi vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGa0Y6kLfZla91oqfmkX7w6XfoZdF-i6o-K1i5EBO8j9GeqCxhzlIQnp3-EF77F3P4P-9rBrLEwU3ArjG3ZGt48n/1.jpg?width=650)
9 years ago
StarTV22 Aug
Polisi yapiga marufuku vikundi vya ulinzi vya vyama
![Kamishna wa Polisi–Operesheni na Mafunzo, Paul](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2841918/highRes/1098575/-/maxw/600/-/ao1qrjz/-/chagonja.jpg)
Kamishna wa Polisi–Operesheni na Mafunzo, Paul Chagonja
Polisi nchini imepiga marufuku vikundi vya ulinzi vya vyama vya kisiasa , vyenye mwelekeo wa kijeshi kufanya kazi za ulinzi hadharani kwa madai kuwa vinaingilia majukumu yao.Onyo hilo lilitolewa jana na Kamishna wa Polisi–Operesheni na Mfunzo, Paul Chagonja wakati akizungumza na waaandishi wa habari Makao Makuu ya Polisi, Dar es Salaam.
Chagonja alivitaja vikundi hivyo na vyama vyao kwenye mabano kuwa ni Green Guard (CCM),...
10 years ago
Vijimambo03 May
Kiama vyama vya siasa, Mageuzi kuwalazimu kubadilisha Katiba zao, Lengo ni pamoja na kufuta vikundi vya ulinzi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/JajiMutungi(3).jpg)
Mtikisiko mkubwa unavikabili vyama vya siasa nchini, vinapoandaliwa kufanya mabadiliko ya lazima kwa Katiba zao, ili pamoja na mambo mengine, vifute vifungu vinavyohalalisha uhai wa vikundi vya ulinzi na usalama.
Hatua hiyo inatokana na kubainika kuwapo kwa vifungu vya katiba hizo hasa vinavyohusu uwapo wa vikundi vya ulinzi na usalama na hivyo kukiuka Katiba ya nchi inayotoa haki hiyo kwa majeshi ya ulinzi na usalama.
Taarifa za uhakika...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0hms6ITm9zw/UySIhTPGkjI/AAAAAAAFTqc/RIWZyhAXvZM/s72-c/unnamed+(20).jpg)
kamanda suzana kaganda atembelea vikundi vya ulinzi shirikishi mkoani tabora
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
SEMA wavishauri vikundi vya kuweka na kukopa (SACCOS) vya Iramba Singida kuanzisha benki yao
Meneja mkuu wa shirika lisilo la kiserikali la SEMA, Ivo Manyanku, akizungumza kwenye hafla ya sherehe ya kikundi cha kuweka na kukopa cha Tuinuane kijiji cha Kisonga wilaya ya Iramba, kumaliza mwaka kwa mafanikio. Sherehe hiyo iliyofanyikia kwenye ofisi ya kikundi hicho.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWntgnHXjghAmfo622aeeI8xHVW7f2LhfWZBhM5IC8bvhLMnLc4t91E1zaad*G2Se5VjQo3PWPkOSfRQoGCjv42d/ErnestMangu.jpg?width=650)
USINZIBE MDOMO VIKOSI VYA ULINZI VYAMA VYA SIASA?!
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cy2X8io8-do/U-MrZPuJY3I/AAAAAAAF9rg/g-AE14ImzrY/s72-c/IMG_7058.jpg)
Wizara ya Habari Vijana,Utamaduni na Michezo yakagua miradi ya vikundi vya Vijana vya Wilaya ya Chemba Mkoani Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-cy2X8io8-do/U-MrZPuJY3I/AAAAAAAF9rg/g-AE14ImzrY/s1600/IMG_7058.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gpnxq7LzDZg/U-MraFOyqFI/AAAAAAAF9ro/yEISLAEsulA/s1600/IMG_7079.jpg)
9 years ago
VijimamboMSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAJA VYAMA VYA SIASA VYENYE USAJILI WA KUDUMU AMBAVYO VINASTAHILI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU