kamanda suzana kaganda atembelea vikundi vya ulinzi shirikishi mkoani tabora
![](http://3.bp.blogspot.com/-0hms6ITm9zw/UySIhTPGkjI/AAAAAAAFTqc/RIWZyhAXvZM/s72-c/unnamed+(20).jpg)
Na Fakih Abdul wa Police Press Tabora Kamanda wa Polisi Mkowa wa Tabora Kamishna Msaidizi wa Polisi Suzana S. Kaganda amefanya ziara katika wilaya ya Sikonge na kukutana na vikundi mbalimbali vya ulinzi shirikishi. Kwanza alikutana na kikundi cha Pathfinder (maarufu kama Maisha Plus ya Tabora) kilichopo katika kijiji cha Tumbili kata ya Tutuo wilaya ya Sikonge na kuwafundisha mbinu mbalimbali za ulinzi shirikishi na dhana ya Polisi jamii kwa ujumla wake, pamoja na kuwapatia mazoezi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-V90xBzjKKmQ/U6REdOqqedI/AAAAAAAFr_E/g0g4nXq_W_o/s72-c/unnamed+(18).jpg)
KAMANDA WA POLISI MKOA WA TABORA AHAMASISHA ULINZI SHIRIKISHI MKOANI MWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-V90xBzjKKmQ/U6REdOqqedI/AAAAAAAFr_E/g0g4nXq_W_o/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zc3gtxBLBTQ/U6REeTdwCeI/AAAAAAAFr_M/uUSx-uSNTnY/s1600/unnamed+(17).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QVPKwH--iBM/U6REhOr7cfI/AAAAAAAFr_U/ba39-YXQUX0/s1600/unnamed+(19).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kx4plQ9IGB8/U4rZYMNaOZI/AAAAAAAFm2g/FS8qW1-G4AU/s72-c/unnamed+(6).jpg)
MRADI WA ULINZI SHIRIKISHI WASHIKA KASI MKOANI TABORA
![](http://1.bp.blogspot.com/-kx4plQ9IGB8/U4rZYMNaOZI/AAAAAAAFm2g/FS8qW1-G4AU/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LCGfvX5NiyY/U4rZYV0Kx-I/AAAAAAAFm2k/8LYKSYHrFdA/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8AKas2xJKag/U4rZYfktzXI/AAAAAAAFm2s/bPHey9WD_BI/s1600/unnamed+(8).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yCchVDjyWq4/UytdMMfNNEI/AAAAAAAFVSQ/MPI1n8f-8OU/s72-c/unnamed+(54).jpg)
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP Suzan S. Kaganda aendelea na kampeni yake ya kuhamasisha dhana ya polisi jamii
![](http://1.bp.blogspot.com/-yCchVDjyWq4/UytdMMfNNEI/AAAAAAAFVSQ/MPI1n8f-8OU/s1600/unnamed+(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yohAQB6kBds/UytdMjP05UI/AAAAAAAFVSc/nz68yZTcMfM/s1600/unnamed+(55).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v3DYtXKaFNq8J-V88UGOw68clqP0cU*yQ-lKiylOGmRBIRk0Mv2q97skWXXokj55kgXg2mf97xetXzrzvYkbpc48ZM0V7sfa/POLISI1.jpg?width=650)
AFANDE SUZAN KAGANDA APOKEA ASKARI WAPYA 75 TABORA, ATOA TAARIFA YA UHALIFU MKOANI HUMO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jUOugGGm79Q/VBfXEnhn8rI/AAAAAAAGj2s/b3hfJ7m9Frs/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
AFANDE SUZAN KAGANDA APOKEA ASKARI WAPYA 75 TABORA, ATOA TAARIFA YA UHALIFU MKOANI HUMO
![](http://1.bp.blogspot.com/-jUOugGGm79Q/VBfXEnhn8rI/AAAAAAAGj2s/b3hfJ7m9Frs/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ytt_Fh20RkE/VBfXEnUsYrI/AAAAAAAGj2w/m43oMiy_rWI/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-m7mV6P-XDfM/VBfXEge3D0I/AAAAAAAGj3E/Am5iF53BHf0/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
11 years ago
Habarileo10 Mar
Msajili akerwa na vikundi vya ulinzi vya Chadema, CCM
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa imekiri kukerwa na vikundi vya ulinzi vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
9 years ago
StarTV22 Aug
Polisi yapiga marufuku vikundi vya ulinzi vya vyama
![Kamishna wa Polisi–Operesheni na Mafunzo, Paul](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2841918/highRes/1098575/-/maxw/600/-/ao1qrjz/-/chagonja.jpg)
Kamishna wa Polisi–Operesheni na Mafunzo, Paul Chagonja
Polisi nchini imepiga marufuku vikundi vya ulinzi vya vyama vya kisiasa , vyenye mwelekeo wa kijeshi kufanya kazi za ulinzi hadharani kwa madai kuwa vinaingilia majukumu yao.Onyo hilo lilitolewa jana na Kamishna wa Polisi–Operesheni na Mfunzo, Paul Chagonja wakati akizungumza na waaandishi wa habari Makao Makuu ya Polisi, Dar es Salaam.
Chagonja alivitaja vikundi hivyo na vyama vyao kwenye mabano kuwa ni Green Guard (CCM),...