KAMANDA WA POLISI MKOA WA TABORA AHAMASISHA ULINZI SHIRIKISHI MKOANI MWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-V90xBzjKKmQ/U6REdOqqedI/AAAAAAAFr_E/g0g4nXq_W_o/s72-c/unnamed+(18).jpg)
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP. Suzan Kaganda akiongoza mafunzo ya ulinzi shirikishi kwa vijana wa Mkoa huo,yaliyofanyika leo tarehe 20.06.2014 katika shule ya msingi Idudumio iliyopo tarafa ya Nyasa wilaya ya Nzega.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP. Suzan Kaganda akikabidhi zawadi mbali mbali kwa vijana walioshiriki kwenye Mafunzo ya Ulinzi Shirikishi.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0hms6ITm9zw/UySIhTPGkjI/AAAAAAAFTqc/RIWZyhAXvZM/s72-c/unnamed+(20).jpg)
kamanda suzana kaganda atembelea vikundi vya ulinzi shirikishi mkoani tabora
Na Fakih Abdul wa Police Press Tabora
Kamanda wa Polisi Mkowa wa Tabora Kamishna Msaidizi wa Polisi Suzana S. Kaganda amefanya ziara katika wilaya ya Sikonge na kukutana na vikundi mbalimbali vya ulinzi shirikishi. Kwanza alikutana na kikundi cha Pathfinder (maarufu kama Maisha Plus ya Tabora) kilichopo katika kijiji cha Tumbili kata ya Tutuo wilaya ya Sikonge na kuwafundisha mbinu mbalimbali za ulinzi shirikishi na dhana ya Polisi jamii kwa ujumla wake, pamoja na kuwapatia mazoezi ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kx4plQ9IGB8/U4rZYMNaOZI/AAAAAAAFm2g/FS8qW1-G4AU/s72-c/unnamed+(6).jpg)
MRADI WA ULINZI SHIRIKISHI WASHIKA KASI MKOANI TABORA
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora SACP Suzan Kaganda leo tarehe 01/06/2014 ametoa T-shirts mia moja kwa vikundi vya ulinzi shirikishi wilaya ya Kaliua mkoa wa Tabora.
Baadhi ya wawakilishi wa kikundi cha ulinzi shirikishi
wilayani Kaliua wakionesha T-shirts walizopewa na RPC Tabora
kamanda wa polisi mkoa wa Tabora ACP Suzan Kaganda akitoa T-shirts kwa kikundi cha ulinzi shirikishi wilayani Kaliua
![](http://1.bp.blogspot.com/-kx4plQ9IGB8/U4rZYMNaOZI/AAAAAAAFm2g/FS8qW1-G4AU/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LCGfvX5NiyY/U4rZYV0Kx-I/AAAAAAAFm2k/8LYKSYHrFdA/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8AKas2xJKag/U4rZYfktzXI/AAAAAAAFm2s/bPHey9WD_BI/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-He6qpWS2SFg/VVSa0RogBqI/AAAAAAAHXSE/H8y9ftjHeQw/s72-c/Kamanda%2Bwa%2BPolisi%2BMkoa%2Bwa%2BDodoma%2BDAVID%2BMISIME%2B-%2BSACP%2Bakitoa%2Belimu%2Bkatika%2Bmkutano%2Bhuo.png)
KAMANDA WA POLISI MKOA WA DODOMA AONGEA NA VIONGOZI WA TARAFA YA DODOMA MJINI KUHUSIANA NA HALI YA ULINZI NA USALAMA PAMOJA NA MATISHIO YA UGAIDI MKOANI HUMO
![](http://3.bp.blogspot.com/-He6qpWS2SFg/VVSa0RogBqI/AAAAAAAHXSE/H8y9ftjHeQw/s640/Kamanda%2Bwa%2BPolisi%2BMkoa%2Bwa%2BDodoma%2BDAVID%2BMISIME%2B-%2BSACP%2Bakitoa%2Belimu%2Bkatika%2Bmkutano%2Bhuo.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5kCbB-KJM40/VVSa3pdcjOI/AAAAAAAHXSU/CpL0_3lU44Q/s640/Balozi%2BMstaafu%2BJOB%2BLUSINDE%2BMwenyekiti%2Bwa%2BBaraza%2Bla%2Bwazee%2BMkoa%2Bwa%2BDodoma%2B%2Bakiongea%2Bjambo..png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Vf9oZK8XJ7U/VVSa17NFX7I/AAAAAAAHXSM/WMxkPK9i8rg/s640/Padre%2BTHOMAS%2BV.%2BLALI%2BKatibu%2BMkuu%2Bjimbo%2Bkuu%2BDodoma%2Bakizungumza%2Bkatika%2Bmkutano%2Bhuo..png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-m6IL4Qo79Bk/VVSa79KC3iI/AAAAAAAHXSc/qASL81mIyuI/s640/Sheke%2BAHMAD%2BSAID%2Bakizungumza%2Bkatika%2Bmkutano%2Bhuo.png)
Na Lakia Ndwellah wa Jeshi la Polisi Dodoma
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amewataka viongozi wa Tarafa ya Dodoma mjini kuwaelimisha...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yCchVDjyWq4/UytdMMfNNEI/AAAAAAAFVSQ/MPI1n8f-8OU/s72-c/unnamed+(54).jpg)
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP Suzan S. Kaganda aendelea na kampeni yake ya kuhamasisha dhana ya polisi jamii
Na Fakih Mapondela wa Tabora Police Press
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP Suzan S. Kaganda Alhamisi tarehe 20/03/2014 alifanya ziara katika manispaa ya Tabora na kukutana na kikundi shirikishi (Sungusungu) na kukipatia mafunzo mbalimbali ya ulinzi shirikishi na ukamataji salama wa watuhumiwa pamoja na kukipa somo la dhana ya Polisi jamii.
Kamanda Kaganda akiwa katikati ya Sungusungu kuonesha mbinu bora za ukamataji salama wa watuhumiwa
Kamanda Kaganda akiwa katika harakati za kutoa...
![](http://1.bp.blogspot.com/-yCchVDjyWq4/UytdMMfNNEI/AAAAAAAFVSQ/MPI1n8f-8OU/s1600/unnamed+(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yohAQB6kBds/UytdMjP05UI/AAAAAAAFVSc/nz68yZTcMfM/s1600/unnamed+(55).jpg)
11 years ago
Michuzi30 Jul
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FoAbBSCCLMw/U04UVB5omKI/AAAAAAAFbOY/rC3tQhCynWc/s72-c/unnamed+(69).jpg)
elimu ya ulinzi shirikishi na polisi jamii yatolewa wilayani simanjiro
![](http://2.bp.blogspot.com/-FoAbBSCCLMw/U04UVB5omKI/AAAAAAAFbOY/rC3tQhCynWc/s1600/unnamed+(69).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s72-c/unnamed+(3).jpg)
HONGERA KAMANDA MZINGA KWA KUTEULIWA KUWA KAMANDA WA POLISI MKOA WA LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s1600/unnamed+(3).jpg)
11 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA KATAVI AFUNGUA MRADI WA KUSOMA KWA NJIA YA MTANDAO MKOANI MWAKE
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania