elimu ya ulinzi shirikishi na polisi jamii yatolewa wilayani simanjiro
![](http://2.bp.blogspot.com/-FoAbBSCCLMw/U04UVB5omKI/AAAAAAAFbOY/rC3tQhCynWc/s72-c/unnamed+(69).jpg)
Ofisa Polisi Jamii wa Tarafa ya Moipo Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Amiri Mlemba akizungumza jana na wakazi wa Kitongoji cha Sokoni, Kata ya Mirerani, wakati akitoa elimu ya ulinzi shirikishi na polisi jamii.
-----------------------------------------------
ILI kufanikisha dhana ya polisi jamii na ulinzi shirikishi, jamii imetakiwa kuanza kutekeleza suala hilo kwenye ngazi ya kaya, kwani jambo hilo likifanyika kikamilifu, uhalifu utapungua kama siyo kumalizika kabisa hapa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-V90xBzjKKmQ/U6REdOqqedI/AAAAAAAFr_E/g0g4nXq_W_o/s72-c/unnamed+(18).jpg)
KAMANDA WA POLISI MKOA WA TABORA AHAMASISHA ULINZI SHIRIKISHI MKOANI MWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-V90xBzjKKmQ/U6REdOqqedI/AAAAAAAFr_E/g0g4nXq_W_o/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zc3gtxBLBTQ/U6REeTdwCeI/AAAAAAAFr_M/uUSx-uSNTnY/s1600/unnamed+(17).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QVPKwH--iBM/U6REhOr7cfI/AAAAAAAFr_U/ba39-YXQUX0/s1600/unnamed+(19).jpg)
10 years ago
MichuziTafrija ya polisi ya kuagana Mirerani wilayani simanjiro mkoani Manyara
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-g101UTnd1hg/U0JJrWVa91I/AAAAAAAFZGw/qxZ0sDK8O30/s72-c/unnamed+(58).jpg)
Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Manyara, SACP Deusdedit Nsimeki afanya ukaguzi wilayani simanjiro
![](http://3.bp.blogspot.com/-g101UTnd1hg/U0JJrWVa91I/AAAAAAAFZGw/qxZ0sDK8O30/s1600/unnamed+(58).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EIJMCJYKnak/U0JJrjihNJI/AAAAAAAFZG0/WbYkHnkj40U/s1600/unnamed+(59).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5NaI_n8sVxM/U0JJrwK2UMI/AAAAAAAFZG4/ruBi6AGjG-8/s1600/unnamed+(60).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W9HW5Djp1oM/U4oL7-vvagI/AAAAAAACikk/15CxAvn6q70/s72-c/10.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI KITETO,LEO AELEKEA WILAYANI SIMANJIRO MKOANI MANYARA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-W9HW5Djp1oM/U4oL7-vvagI/AAAAAAACikk/15CxAvn6q70/s1600/10.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5Z3UFj1G8J0/U4oMa_-6G7I/AAAAAAACiks/zcprQEoNIDI/s1600/11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yyQ4r6KRmmc/U4qdBWmmpOI/AAAAAAACinQ/tSXrUkruOCU/s1600/7.jpg)
9 years ago
MichuziAskari wa kituo cha polisi Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara wafanya usafi kwenye mazingira yanayozunguka kituo chao.
10 years ago
Mtanzania30 Sep
Kashfa nzito ulinzi shirikishi Ubungo
![Eneo la Ubungo jijini Dar](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/ubungo.jpg)
Eneo la Ubungo jijini Dar
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
WAFANYABIASHARA ndogo ndogo maarufu kama ‘wamachinga’ wa eneo la Ubungo, Manispaa ya Kinondoni, wamegeuzwa kitega uchumi na kikundi kinachojiita cha ulinzi shirikishi kwa kuwatoza ushuru kinyume na sheria.
Uchunguzi uliofanywa na MTANZANIA umebaini kikundi hicho kimekuwa kikikusanya fedha kwa wafanyabiashara hao kati ya Sh 1,000 na 5,000 kutegemea aina ya biashara, ushuru ambao unaingia mifukoni mwao bila halmashauri kujua.
Mbali na...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Ugombolwa vinara bonanza la ulinzi shirikishi Segerea
TIMU ya soka ya Polisi Jamii ya Mtaa wa Ugombolwa, Kata ya Segerea jijini Dar es Salaam imeibuka mabingwa katika Bonanza la Ulinzi Shirikishi kata hiyo baada ya kuibwaga Segerea...