MRADI WA ULINZI SHIRIKISHI WASHIKA KASI MKOANI TABORA
![](http://1.bp.blogspot.com/-kx4plQ9IGB8/U4rZYMNaOZI/AAAAAAAFm2g/FS8qW1-G4AU/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora SACP Suzan Kaganda leo tarehe 01/06/2014 ametoa T-shirts mia moja kwa vikundi vya ulinzi shirikishi wilaya ya Kaliua mkoa wa Tabora.
Baadhi ya wawakilishi wa kikundi cha ulinzi shirikishi
wilayani Kaliua wakionesha T-shirts walizopewa na RPC Tabora
kamanda wa polisi mkoa wa Tabora ACP Suzan Kaganda akitoa T-shirts kwa kikundi cha ulinzi shirikishi wilayani Kaliua
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-V90xBzjKKmQ/U6REdOqqedI/AAAAAAAFr_E/g0g4nXq_W_o/s72-c/unnamed+(18).jpg)
KAMANDA WA POLISI MKOA WA TABORA AHAMASISHA ULINZI SHIRIKISHI MKOANI MWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-V90xBzjKKmQ/U6REdOqqedI/AAAAAAAFr_E/g0g4nXq_W_o/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zc3gtxBLBTQ/U6REeTdwCeI/AAAAAAAFr_M/uUSx-uSNTnY/s1600/unnamed+(17).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QVPKwH--iBM/U6REhOr7cfI/AAAAAAAFr_U/ba39-YXQUX0/s1600/unnamed+(19).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0hms6ITm9zw/UySIhTPGkjI/AAAAAAAFTqc/RIWZyhAXvZM/s72-c/unnamed+(20).jpg)
kamanda suzana kaganda atembelea vikundi vya ulinzi shirikishi mkoani tabora
10 years ago
Dewji Blog26 Sep
Mradi wa TBA wa ujenzi wa nyumba 10,000 za watumishi wa umma washika kasi
Jengo la gorofa 8 lenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 1.9 lililojengwa na wakala wa Majengo Tanazania (TBA) Katika eneo la Ada Estate Kinondoni Jijini Dar es salaam ambalo litapangishwa kwa watumishi wa umma mara litakapokamilika mwishoni mwa mwaka huu ikiwa ni moja ya hatua za Serikali kutatua tatizo la makazi kwa watumishi wa umma.
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa mbele ya moja ya nyumba za Majaji zinazojengwa na TBA wakati wa ziara yao katika eneo la Masaki jijini Dar es...
5 years ago
MichuziKAMATI YA ULINZI NA USALAMA KAHAMA YARIDHISHWA KASI YA UJENZI MRADI WA MAJI NGOGWA - KITWANA
Mradi huo unasimamiwa na kutekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mjini Shinyanga (SHUWASA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama (KUWASA) pamoja na...
10 years ago
Mtanzania30 Sep
Kashfa nzito ulinzi shirikishi Ubungo
![Eneo la Ubungo jijini Dar](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/ubungo.jpg)
Eneo la Ubungo jijini Dar
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
WAFANYABIASHARA ndogo ndogo maarufu kama ‘wamachinga’ wa eneo la Ubungo, Manispaa ya Kinondoni, wamegeuzwa kitega uchumi na kikundi kinachojiita cha ulinzi shirikishi kwa kuwatoza ushuru kinyume na sheria.
Uchunguzi uliofanywa na MTANZANIA umebaini kikundi hicho kimekuwa kikikusanya fedha kwa wafanyabiashara hao kati ya Sh 1,000 na 5,000 kutegemea aina ya biashara, ushuru ambao unaingia mifukoni mwao bila halmashauri kujua.
Mbali na...
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Ulevi wa Shisha washika kasi
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Ushoga washika kasi nchini
WAKATI Uganda imepitisha sheria ya kuzuia mapenzi ya jinsia moja, hapa nchini hali ni mbaya zaidi kutokana na kuwepo kwa asilimia kubwa ya watu wanaojihusisha na ushoga. Kwa mujibu wa...
11 years ago
Habarileo29 Dec
Moto wa rushwa washika kasi
WAZIRI Mkuu wa zamani wa Tanzania, Frederick Sumaye amewataka wananchi na wadau wa demokrasia kutochoka kukemea rushwa katika kupata viongozi kwani inawafanya kuwa wapofu na kudumaza maendeleo.