Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ulevi wa Shisha washika kasi

Umeibuka ulevi mpya nchini ambao umethibitika kuwateka vijana hasa wa jiji la Dar es Salaam, huku kukiwa na taarifa za kitaalamu kwamba ulevi huo una athari za kiafya kwa watumiaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ushoga washika kasi nchini

WAKATI Uganda imepitisha sheria ya kuzuia mapenzi ya jinsia moja, hapa nchini hali ni mbaya zaidi kutokana na kuwepo kwa asilimia kubwa ya watu wanaojihusisha na ushoga. Kwa mujibu wa...

 

11 years ago

Habarileo

Moto wa rushwa washika kasi

Waziri Mkuu wa zamani, Frederick SumayeWAZIRI Mkuu wa zamani wa Tanzania, Frederick Sumaye amewataka wananchi na wadau wa demokrasia kutochoka kukemea rushwa katika kupata viongozi kwani inawafanya kuwa wapofu na kudumaza maendeleo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utoroshaji madini ghafi washika kasi

WAKATI serikali imepiga marufuku usafirishaji wa madini ya tanzanite nje ya nchi yakiwa ghafi, bado kumekuwepo na wimbi la usafirishaji wa madini hayo kwa kutumia njia za panya kwenye mikoa...

 

11 years ago

Michuzi

Utekelezaji wa Mpangokazi wa APRM washika Kasi

Na Mwandishi Wetu
Serikali ya Tanzania imeendelea kuweka misingi imara ya kufanyiakazi maoni ya wananchi kuhusu hali ya utawala bora nchini kama yalivyobainishwa kupitia Ripoti ya Hali ya Utawala Bora iliyoandaliwa na Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM).
Itakumbukwa kuwa, Tanzania ni miongoni mwa nchi 34 kati ya 54 za AU zilizokwishajiunga na Mpango wa APRM. Tanzania ilijiunga na mchakato huu mwaka 2004 na Bunge kuridhia mnamo tarehe 1 Februari 2005.
Kwa mujibu wa...

 

10 years ago

GPL

UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NHC MTWARA WASHIKA KASI

Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akielekeza jambo wakati wa ziara yake aliyoifanya kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Masasi, mkoani Mtwara ambapo pamoja na mambo mengine amesifu kasi ya ujezi wa nyumba hizo unaozingatia viwango na muda na akawataka wafanyakazi wa NHC kuchapa kazi ili kufikia malengo yao waliyojiwekea. Kulia ni Mkurugenzi wa Fedha wa NHC, Felix Maagi, wa pili ni Eliaisa Keenja...

 

11 years ago

Michuzi

MRADI WA ULINZI SHIRIKISHI WASHIKA KASI MKOANI TABORA

Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora SACP Suzan Kaganda leo tarehe 01/06/2014 ametoa T-shirts mia moja kwa vikundi vya ulinzi shirikishi wilaya ya Kaliua mkoa wa Tabora.  Baadhi ya wawakilishi wa kikundi cha ulinzi shirikishi  wilayani  Kaliua wakionesha T-shirts walizopewa na RPC Tabora  kamanda wa polisi mkoa wa Tabora ACP Suzan Kaganda akitoa T-shirts kwa kikundi cha ulinzi shirikishi wilayani Kaliua


 

10 years ago

Dewji Blog

Mradi wa TBA wa ujenzi wa nyumba 10,000 za watumishi wa umma washika kasi

1

Jengo la gorofa 8 lenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 1.9 lililojengwa na wakala wa Majengo Tanazania (TBA) Katika eneo la Ada Estate Kinondoni Jijini Dar es salaam ambalo litapangishwa kwa watumishi wa umma mara litakapokamilika mwishoni mwa mwaka huu ikiwa ni moja ya hatua za Serikali kutatua tatizo la makazi kwa watumishi wa umma.

2

Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa mbele ya  moja ya nyumba za Majaji zinazojengwa na TBA wakati wa ziara yao katika  eneo la Masaki jijini Dar es...

 

10 years ago

Michuzi

MPANGO WA AJIRA ZA MUDA KWA WALENGWA WA KAYA MASKINI CHINI YA TASAF WASHIKA KASI KISIWANI ZANZIBAR.

Walengwa wa Mpango wa kunusuru kaya maskini unaotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF wameanza utekelezaji wa miradi ya ajira za muda na kisha kulipwa ujira katika miradi wanayoibua kwenye maeneo yao .Walengwa wa vijiji kadhaa vilivyoko kwenye Mpango huo kikiwemo kile cha Mzuri na Kijini vilivyoko katika eneo la Makunduchi mkoa wa Kusini Unguja wameanza kutengeneza barabara yenye urefu wa zaidi ya kilometa moja na vitalu vya miche ya miti ya asili na matunda katika eneo lao na kisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani