Moto wa rushwa washika kasi
WAZIRI Mkuu wa zamani wa Tanzania, Frederick Sumaye amewataka wananchi na wadau wa demokrasia kutochoka kukemea rushwa katika kupata viongozi kwani inawafanya kuwa wapofu na kudumaza maendeleo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Ulevi wa Shisha washika kasi
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Ushoga washika kasi nchini
WAKATI Uganda imepitisha sheria ya kuzuia mapenzi ya jinsia moja, hapa nchini hali ni mbaya zaidi kutokana na kuwepo kwa asilimia kubwa ya watu wanaojihusisha na ushoga. Kwa mujibu wa...
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Utoroshaji madini ghafi washika kasi
WAKATI serikali imepiga marufuku usafirishaji wa madini ya tanzanite nje ya nchi yakiwa ghafi, bado kumekuwepo na wimbi la usafirishaji wa madini hayo kwa kutumia njia za panya kwenye mikoa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-p3BvjfrhA6A/U2_Pg4KhT7I/AAAAAAAFg-Q/XmycZRV9des/s72-c/aprm-may24-2013(1)(1)(2).jpg)
Utekelezaji wa Mpangokazi wa APRM washika Kasi
![](http://3.bp.blogspot.com/-p3BvjfrhA6A/U2_Pg4KhT7I/AAAAAAAFg-Q/XmycZRV9des/s1600/aprm-may24-2013(1)(1)(2).jpg)
Serikali ya Tanzania imeendelea kuweka misingi imara ya kufanyiakazi maoni ya wananchi kuhusu hali ya utawala bora nchini kama yalivyobainishwa kupitia Ripoti ya Hali ya Utawala Bora iliyoandaliwa na Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM).
Itakumbukwa kuwa, Tanzania ni miongoni mwa nchi 34 kati ya 54 za AU zilizokwishajiunga na Mpango wa APRM. Tanzania ilijiunga na mchakato huu mwaka 2004 na Bunge kuridhia mnamo tarehe 1 Februari 2005.
Kwa mujibu wa...
10 years ago
GPLUTEKELEZAJI WA MIRADI YA NHC MTWARA WASHIKA KASI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kx4plQ9IGB8/U4rZYMNaOZI/AAAAAAAFm2g/FS8qW1-G4AU/s72-c/unnamed+(6).jpg)
MRADI WA ULINZI SHIRIKISHI WASHIKA KASI MKOANI TABORA
![](http://1.bp.blogspot.com/-kx4plQ9IGB8/U4rZYMNaOZI/AAAAAAAFm2g/FS8qW1-G4AU/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LCGfvX5NiyY/U4rZYV0Kx-I/AAAAAAAFm2k/8LYKSYHrFdA/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8AKas2xJKag/U4rZYfktzXI/AAAAAAAFm2s/bPHey9WD_BI/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Sep
Mradi wa TBA wa ujenzi wa nyumba 10,000 za watumishi wa umma washika kasi
Jengo la gorofa 8 lenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 1.9 lililojengwa na wakala wa Majengo Tanazania (TBA) Katika eneo la Ada Estate Kinondoni Jijini Dar es salaam ambalo litapangishwa kwa watumishi wa umma mara litakapokamilika mwishoni mwa mwaka huu ikiwa ni moja ya hatua za Serikali kutatua tatizo la makazi kwa watumishi wa umma.
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa mbele ya moja ya nyumba za Majaji zinazojengwa na TBA wakati wa ziara yao katika eneo la Masaki jijini Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jxIeoL6fQOY/VKFikpTsRoI/AAAAAAAG6bQ/YwIkYHvyGfk/s72-c/New%2BPicture.png)
MPANGO WA AJIRA ZA MUDA KWA WALENGWA WA KAYA MASKINI CHINI YA TASAF WASHIKA KASI KISIWANI ZANZIBAR.