Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utoroshaji madini ghafi washika kasi

WAKATI serikali imepiga marufuku usafirishaji wa madini ya tanzanite nje ya nchi yakiwa ghafi, bado kumekuwepo na wimbi la usafirishaji wa madini hayo kwa kutumia njia za panya kwenye mikoa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Wachina waonesha nia kuwekeza sekta ya madini, wakutana na Muhongo, Maswi, muhongo asisitiza hakuna kusafirisha madini ghafi

Nuru Mwasampeta na Veronica Simba, Dar es Salaam Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema Wizara yake imejipanga kuhakikisha inajengwa mitambo ya uchakataji madini (Mineral Processing Plants) hapa nchini ili kuondokana na utaratibu wa kusafirisha madini ghafi nje ya nchi na badala yake zisafirishwe bidhaa zitokanazo na madini husika ili kuongeza thamani na hivyo kukuza pato la nchi.  Aliyasema hayo  alipokutana na kuzungumza na Wawekezaji wa Kampuni ya Chinalco ya nchini...

 

10 years ago

Mwananchi

GST yataka usafirishaji madini ghafi usitishwe

Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) umeitaka Serikali kusitisha usafirishaji wa madini ghafi nje ya nchi ili kuwanufaisha zaidi wananchi na kuongeza Pato la Taifa.

 

10 years ago

Habarileo

Watakiwa kudhibiti utoroshaji wa madini

WATAALAMU wanaosimamia sekta ya madini nchini wametakiwa kuongeza uwajibikaji ili kudhibiti utoroshaji wa madini kwenda nje ya nchi ambao umekuwa ukiikosesha serikali mapato.

 

9 years ago

Mwananchi

Sakata utoroshaji madini laendelea

Sakata la kukamatwa kwa raia wa India, Jain Anarungi kwa tuhuma za kutorosha madini ya Tanzanite yenye thamani ya Sh2.5 bilioni katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), limechukua sura mpya baada ya kampuni maarufu mjini hapa kutajwa kuyauza madini hayo kuanza kuchunguzwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Idara kudhibiti utoroshaji madini

>Idara ya Madini Kanda ya Kaskazini imejipanga kudhibiti vitendo vya utoroshaji wa madini nje ya nchi kwa kuweka wakaguzi katika mipaka ya Namanga, Horohoro na Holili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ushoga washika kasi nchini

WAKATI Uganda imepitisha sheria ya kuzuia mapenzi ya jinsia moja, hapa nchini hali ni mbaya zaidi kutokana na kuwepo kwa asilimia kubwa ya watu wanaojihusisha na ushoga. Kwa mujibu wa...

 

11 years ago

Habarileo

Moto wa rushwa washika kasi

Waziri Mkuu wa zamani, Frederick SumayeWAZIRI Mkuu wa zamani wa Tanzania, Frederick Sumaye amewataka wananchi na wadau wa demokrasia kutochoka kukemea rushwa katika kupata viongozi kwani inawafanya kuwa wapofu na kudumaza maendeleo.

 

11 years ago

Mwananchi

Ulevi wa Shisha washika kasi

Umeibuka ulevi mpya nchini ambao umethibitika kuwateka vijana hasa wa jiji la Dar es Salaam, huku kukiwa na taarifa za kitaalamu kwamba ulevi huo una athari za kiafya kwa watumiaji.

 

11 years ago

Michuzi

Utekelezaji wa Mpangokazi wa APRM washika Kasi

Na Mwandishi Wetu
Serikali ya Tanzania imeendelea kuweka misingi imara ya kufanyiakazi maoni ya wananchi kuhusu hali ya utawala bora nchini kama yalivyobainishwa kupitia Ripoti ya Hali ya Utawala Bora iliyoandaliwa na Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM).
Itakumbukwa kuwa, Tanzania ni miongoni mwa nchi 34 kati ya 54 za AU zilizokwishajiunga na Mpango wa APRM. Tanzania ilijiunga na mchakato huu mwaka 2004 na Bunge kuridhia mnamo tarehe 1 Februari 2005.
Kwa mujibu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani