GST yataka usafirishaji madini ghafi usitishwe
Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) umeitaka Serikali kusitisha usafirishaji wa madini ghafi nje ya nchi ili kuwanufaisha zaidi wananchi na kuongeza Pato la Taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HSuUDFknyEQ/U-2bMXdFksI/AAAAAAAF_uc/6rgPuiaI4MM/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
Wachina waonesha nia kuwekeza sekta ya madini, wakutana na Muhongo, Maswi, muhongo asisitiza hakuna kusafirisha madini ghafi
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Utoroshaji madini ghafi washika kasi
WAKATI serikali imepiga marufuku usafirishaji wa madini ya tanzanite nje ya nchi yakiwa ghafi, bado kumekuwepo na wimbi la usafirishaji wa madini hayo kwa kutumia njia za panya kwenye mikoa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xs8dbecKBs0/XlIbIPQ9chI/AAAAAAALe5I/uFtY8GwfLX8WxAO20YhgCQn9JN39tzPvwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200222-WA0000.jpg)
Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania atembelea banda la GST
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xs8dbecKBs0/XlIbIPQ9chI/AAAAAAALe5I/uFtY8GwfLX8WxAO20YhgCQn9JN39tzPvwCLcBGAsYHQ/s1600/IMG-20200222-WA0000.jpg)
Aidha, kupitia maonesho hayo Dkt.Budeba amepata fursa ya kufanya mazungumzo na wawekezaji mbalimbali...
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Serikali yataka kampuni ya madini ya Shanta na wanakijiji cha Ikungi kumaliza tofauti zao waendelee na kazi za uchimbaji
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani (mwenye koti kulia) akibadilishana mawazo na aliyewahi kuwa Mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi na mchimbaji madini ya Gypsum kijijini Itigi, Ismael Ivata (kushoto).Viongozi hao walikuwa kwenye shimo linalochimbwa gypsum.
Afisa Mwanadamizi wa kampuni ya uchimbaji madini ya Shanta kijiji cha Sambaru wilaya ya Ikungi, Octavian Ndazi, akitoa taarifa yake kwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani (hayupo kwenye picha). Hata...
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Yona: Serikali iliagiza mchakato usitishwe
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Lusekelo ataka mchakato wa Katiba usitishwe
11 years ago
Habarileo26 Feb
Wataka uuzwaji hisa Benki ya Walimu usitishwe
BAADHI ya walimu katika wilaya ya Ukerewe, mkoani Mwanza wametaka utaratibu wa kuuziwa hisa katika Benki ya Walimu inayotarajia kuanzishwa Julai, mwaka huu usitishwe.
11 years ago
Habarileo05 Jul
GST waandaa kitabu kufundisha miamba Msingi
WAKALA wa Jiolojia Tanzania (GST) wameandaa kitabu na kasha lenye aina mbalimbali za miamba na madini kwa ajili ya kufundishia katika shule za msingi ili kuwajengea watoto uelewa wa madini.
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
TPSF kuanzisha soko la bidhaa ghafi
TAASISI ya Sekta Binafsi (TPSF) inatarajia kuanzisha soko la bidhaa ghafi litakalowasaidia wakulima kuwa na bei elekezi za mazao yao. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mwenyekiti...