GST waandaa kitabu kufundisha miamba Msingi
WAKALA wa Jiolojia Tanzania (GST) wameandaa kitabu na kasha lenye aina mbalimbali za miamba na madini kwa ajili ya kufundishia katika shule za msingi ili kuwajengea watoto uelewa wa madini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo21 Jul
Wenye digrii mbioni kufundisha msingi
RAIS Jakaya Kikwete amesisitiza nia ya Serikali kutumia wahitimu wake wa vyuo vikuu, kufundisha shule za msingi huku akiwaweka sawa kwa kuwaambia kufanya hivyo si kuwashushia hadhi.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mtazamo wao ni kuwa miamba iligongana kwa pamoja na kuunda miamba mikubwa hadi kuwa sayari
9 years ago
StarTV07 Sep
Umoja wa Vijana Geita wazindua kitabu maalumu je wajua kitabu gani?
Marafiki wa Magufuli Kanda ya Ziwa kupitia Umoja wa Vijana Mkoa wa Geita wamezindua kitabu maalum kiitwacho TINGATINGA ikiwa ni sehemu mojawapo ya kampeni ndani na nje ya mkoa huo kitakachomnadi mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dokta John Magufuli.
Vijana hao wamesema kitabu cha TINGATINGA kitasaidia wananchi kumjua kiundani Dokta Magufuli kwa kuwa kitasambazwa mijini na vijijini wakiwa na imani kuwa watakaosoma na kukielewa kitabu hicho watafanya maamuzi sahihi kwa...
10 years ago
Mwananchi19 Aug
GST yataka usafirishaji madini ghafi usitishwe
10 years ago
VijimamboWAKALA WA JIOLOJIA TANZANIA (GST) WAFANYA MAFUNZO YA AWALI
10 years ago
MichuziKLABU YA MICHEZO YA GST LEO YAKABIDHI KOMBE BAADA YA SHIMIWI KUMALIZIKA
Katika mashindano hayo klabu ya GST iliweza kupeleka wanamichezo katika mchezo wa mpira wa pete , kuvuta kamba , riadha , mbio za baiskeli , draft , dasti na mchezo wa bao , katika michezo hiyo GST imeweza kupata medali mbili za shaba kutoka mchezo wa mbio za mita 100 , kombe moja kutoka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xs8dbecKBs0/XlIbIPQ9chI/AAAAAAALe5I/uFtY8GwfLX8WxAO20YhgCQn9JN39tzPvwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200222-WA0000.jpg)
Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania atembelea banda la GST
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xs8dbecKBs0/XlIbIPQ9chI/AAAAAAALe5I/uFtY8GwfLX8WxAO20YhgCQn9JN39tzPvwCLcBGAsYHQ/s1600/IMG-20200222-WA0000.jpg)
Aidha, kupitia maonesho hayo Dkt.Budeba amepata fursa ya kufanya mazungumzo na wawekezaji mbalimbali...
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Miamba 32 yapangiwa makundi