Miamba 32 yapangiwa makundi
Monaco, Ufaransa. Ratiba ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ilipangwa wiki iliyopita mjini Monaco, Ufaransa na ikionyesha mechi za hatua hiyo ya makundi zitaanza kuchezwa Septemba 16 na 17, mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mtazamo wao ni kuwa miamba iligongana kwa pamoja na kuunda miamba mikubwa hadi kuwa sayari
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
Droo ya makundi ya Euro 2016 yafanyika, hii ndiyo listi kamili ya makundi hayo
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Chama cha Soka cha Ulaya kimefanya droo ya makundi ya mashindano ya Euro 2016 ambayo yanashirikisha nchi 24 kutoka Ulaya na yanatarajiwa kufanyika nchini Ufaransa kuanzia mwezi Juni mwakani. Modewjiblog imekuandalia listi kamili ya hatua hiyo ya makundi;
GROUP A;
Ufaransa
Romania
Albania
Switzerland
GROUP B;
Uingereza
Urusi
Wales
Slovakia
GROUP C;
Ujerumani
Ukraine
Poland
Northern Ireland
GROUP D;
Hispania
Jamhuri ya Czech
Uturuki
Croatia
GROUP E;
Belgium
Italia
Jamhuri...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Kesi ya Simba yapangiwa jaji
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imempa Jaji Augustine Mwarija kusikiliza kesi iliyofunguliwa na wanachama watatu wa Simba, ambao wanaiomba itoe amri ya muda kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu...
9 years ago
Habarileo05 Nov
Twiga Stars, yapangiwa Zimbabwe
TIMU ya soka ya taifa ya wanawake ‘Twiga Stars’ itaanza kampeni ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zitakazofanyika mwakani huko Cameroon kwa kuchuana na Zimbabwe katika raundi ya kwanza ya mchujo.
11 years ago
Habarileo13 Jun
Kesi Mbunge huru yapangiwa majaji
KESI ya kikatiba iliyofunguliwa kutaka Mahakama iruhusu mbunge aliyefukuzwa uanachama katika chama chake atambuliwe kuwa Mbunge huru au aruhusiwe kuhama na ubunge wake kwenda chama chochote, imepangiwa jopo la majaji watatu.
10 years ago
Mwananchi23 May
Dar es Salaam yapangiwa siku 12 uandikishaji wapiga kura
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Kesi ya kupinga Bunge la Katiba yapangiwa majaji watatu
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Ulipuaji miamba marufuku usiku
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Miamba wa jiji la Madrid hakuna mbabe