Kesi Mbunge huru yapangiwa majaji
KESI ya kikatiba iliyofunguliwa kutaka Mahakama iruhusu mbunge aliyefukuzwa uanachama katika chama chake atambuliwe kuwa Mbunge huru au aruhusiwe kuhama na ubunge wake kwenda chama chochote, imepangiwa jopo la majaji watatu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Kesi ya kupinga Bunge la Katiba yapangiwa majaji watatu
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Kesi ya Simba yapangiwa jaji
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imempa Jaji Augustine Mwarija kusikiliza kesi iliyofunguliwa na wanachama watatu wa Simba, ambao wanaiomba itoe amri ya muda kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu...
11 years ago
Mwananchi01 Jul
HURU: Washtakiwa Kesi ya Tabata Dampo huru
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Majaji wakorogana kesi ya Kisena, Msama
JAJI wa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi, Robert Mziray, anayesikiliza kesi ya mzozo wa ardhi kati ya mmiliki wa Kampuni ya UDA, Robert Kisena na mfanyabiashara, Alex Msama, amedaiwa kutoa...
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Majaji wajipange kupokea kesi za Uchaguzi
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Mbunge ataka sheria ya majaji itumike
MBUNGE wa Viti Maalumu, Diana Chilolo (CCM), ameihoji serikali kutoanza kutumika sheria ya majaji iliyotungwa na Bunge na kuainisha haki na marupurupu ya majaji. Mbunge huyo mbali na kuhoji suala...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Majaji wazidi kujitoa kesi ya Prof. Mwaikusa
MAJAJI wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, wamezidi kujitoa katika kesi ya mauaji ya aliyekuwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, Kitivo cha Sheria, Prof. Juan...
11 years ago
Habarileo27 Jan
Majaji wapishana uamuzi kesi ya Kampuni ya AMI Tanzania
MAJAJI watatu wa Mahakama ya Rufani wametofautiana katika kutoa uamuzi wa kesi ya malipo ya Sh bilioni tano inayowahusu zaidi ya wafanyakazi 110 wa Kampuni ya AMI Tanzania.
11 years ago
Mwananchi01 Jul
MASHAURI: Majaji wawili kusikiliza kesi 11 za mauaji Moshi