Mbunge ataka sheria ya majaji itumike
MBUNGE wa Viti Maalumu, Diana Chilolo (CCM), ameihoji serikali kutoanza kutumika sheria ya majaji iliyotungwa na Bunge na kuainisha haki na marupurupu ya majaji. Mbunge huyo mbali na kuhoji suala...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 May
Mbunge ataka marekebisho ya sheria sasa
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Mbunge ataka sheria kuwabana wanaowapa mimba wanafunzi
MBUNGE wa Viti Maalumu, Christowaja Mtinda (CHADEMA), ameitaka serikali kuja na sheria nyingine itakayowabana wanaume wanaowapa mimba wanafunzi. Akiuliza swali bungeni jana, alisema sheria ya sasa haina meno na kwamba...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DMO_sw2q9UI/XodLbI0h14I/AAAAAAALl9M/LGnLeYlJwsAC2Tk8Qdk1hJ2SH5vmD3rvACLcBGAsYHQ/s72-c/proftibaijuka.jpg)
WABUNGE WATOA YA MOYONI JANGA LA CORONA, PROF. TIBAIJUKA ATAKA TIBA MBADALA ITUMIKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-DMO_sw2q9UI/XodLbI0h14I/AAAAAAALl9M/LGnLeYlJwsAC2Tk8Qdk1hJ2SH5vmD3rvACLcBGAsYHQ/s400/proftibaijuka.jpg)
WABUNGE wameendelea kutoa maoni na ushauri kwa Serikali kuhusu hatua inaweza kuzichukua kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19(Corona) huku Mbunge wa Muleba Kusini Profesa Anna Tibajuka akitaka tiba mbadala nayo itumike kwenye kukabiliana na ugonjwa huo.
Wakizungumza Bungeni Mjini Dodoma kwa nyakati tofauti leo Aprili 3 mwaka 2020, wabunge ambao wamepata nafasi ya kuchangia hotuba ya Waziri Mkuu, wametumia nafasi hiyo kutoa maoni yao kuhusu janga la...
11 years ago
Habarileo13 Jun
Kesi Mbunge huru yapangiwa majaji
KESI ya kikatiba iliyofunguliwa kutaka Mahakama iruhusu mbunge aliyefukuzwa uanachama katika chama chake atambuliwe kuwa Mbunge huru au aruhusiwe kuhama na ubunge wake kwenda chama chochote, imepangiwa jopo la majaji watatu.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gokySz8j2-M/Uu-Vb5uboFI/AAAAAAAAiyM/IaRA1A9Tul8/s72-c/1.jpg)
SIKU YA SHERIA DUNIANI YAFANYIKA MKOANI DODOMA, WALIA NA UPUNGUFU WA MAJAJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-gokySz8j2-M/Uu-Vb5uboFI/AAAAAAAAiyM/IaRA1A9Tul8/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rk3kVSD6eeM/Uu-VfXSmgcI/AAAAAAAAiyc/nGcaCnMRSLA/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EvRyJFIMfTM/Uu-Ve8Hf1VI/AAAAAAAAiyU/PfY-5u5UFxE/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0--UkC-et2M/Uu-Vmx6BiAI/AAAAAAAAiys/bNnaed7RP6Y/s1600/5.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Nov
JK ataka mabadiliko sheria ya manunuzi
Rais wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete.
Na Mwandishi wetu
Rais wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete amesema lazima mabadiliko ya kina yafanyike katika idara ya ununuzi wa umma ili kudhibiti kiwango cha rushwa kinachoigharimu serikali
Rais Kikwete amebainisha hayo wiki iliyopita jijini Mwanza katika ufunguzi wa mkutano mkuu wa 12 wa shirikisho la taasisi za kuzuia na kupambana na rushwa katika nchi za Umoja Wa Kusini Mwa Afrika ,SADC ambapo...
11 years ago
Habarileo29 Mar
Mbunge ataka wasilipwe posho
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta ameshauriwa kumuandikia barua Rais Jakaya Kikwete, kuomba kuvunjwa kwa bunge hilo linaloendelea mjini hapa endapo wajumbe wake watashindwa kuanza kujadili rasimu Jumatatu ijayo.
10 years ago
Habarileo05 Nov
Mbunge ataka Bunge lisitishwe
KUTOKANA na Bohari Kuu ya Dawa (MSD) kuidai Serikali zaidi ya Sh bilioni 90 za dawa hatua inayozifanya hospitali nyingi nchini kukosa huduma hiyo na kuleta madhara kwa wagonjwa, Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM), ameomba Mkutano wa 16 na 17 wa Bunge ulioanza jana mjini hapa kuahirishwa ili fedha walizopaswa kulipwa wabunge zitumike kununua dawa kuokoa wagonjwa.
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Mbunge ataka ahadi za JK zifutwe
MBUNGE wa Viti Maalumu Rebeca Mngodo (CHADEMA), ameitaka serikali kuzifuta ahadi zote zilizotolewa na Rais Jakaya Kikwete wakati wa kuomba kura mwaka 2010 kwa madai kuwa hazitekelezeki. Mngodo alitoa kauli...