Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge ataka marekebisho ya sheria sasa

Mbunge wa Viti Maalumu, Mariam Msabaha (Chadema) ameitaka Serikali kupeleka bungeni haraka sheria ya uhujumu uchumi ili ifanyiwe marekebisho ya kuongezewa nguvu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ataka sheria ya majaji itumike

MBUNGE wa Viti Maalumu, Diana Chilolo (CCM), ameihoji serikali kutoanza kutumika sheria ya majaji iliyotungwa na Bunge na kuainisha haki na marupurupu ya majaji.  Mbunge huyo mbali na kuhoji suala...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ataka sheria kuwabana wanaowapa mimba wanafunzi

MBUNGE wa Viti Maalumu, Christowaja Mtinda (CHADEMA), ameitaka serikali kuja na sheria nyingine itakayowabana wanaume wanaowapa mimba wanafunzi. Akiuliza swali bungeni jana, alisema sheria ya sasa haina meno na kwamba...

 

10 years ago

Habarileo

Mjumbe ataka marekebisho Bunge la Katiba

SIKU chache baada ya Bunge Maalumu la Katiba (BMK) kupokea rasimu ya Katiba mpya iliyopendekezwa, mmoja wa wajumbe wa bunge hilo anayetoka kundi la 201, John Ndumbaro ameibukia mjini hapa na kutaka vipengele kadhaa vifanyiwe marekebisho.

 

10 years ago

Habarileo

Marekebisho Sheria ya HESLB yaondolewa

Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma za Jamii, Margaret SittaSERIKALI imeondoa sehemu ya marekebisho ya sheria katika Sheria ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii, kupinga ikidai itawanyima fursa wanafunzi kutoka familia masikini kupata mikopo.

 

10 years ago

Habarileo

Marekebisho ya sheria ya ushahidi yaja

WAZIRI wa Katiba na Sheria Zanzibar, Abubakar Khamis Bakary amesema marekebisho ya sheria ya ushahidi ya mwaka 1917 yapo katika hatua za mwisho ngazi za watendaji wakuu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sheria ya ubakaji kufanyiwa marekebisho-Morocco

Bunge la Morocco limeidhinisha sheria iliyoruhusu wanaume waliowabaka wasichana kutofunguliwa mashtaka ikiwa watawaoa waathiriwa wao

 

10 years ago

Habarileo

Muswada wa Marekebisho Sheria ya Ubia wawasilishwa

Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk Mary NaguSERIKALI imewasilisha bungeni Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) kwa nia ya kuboresha usimamizi na uratibu wa masuala ya ubia kati ya pande hizo.

 

10 years ago

Mwananchi

Sheria 33 kufanyiwa marekebisho Bunge lijalo

Serikali inakusudia kupeleka bungeni Muswada wa Marekebisho ya Sheria 33, baada ya kubaini kuwa zina upungufu katika matumizi yake.

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KUPELEKA BUNGENI MUSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali itawasilisha Bungeni Muswada wa Marekebisho ya Sheria Mbalimbali wenye sehemu 14 likiwemo suala la Mahakama ya Kadhi.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Magogoni jijini Dar es Salaam, jana jioni (Jumatano, Machi 11, 2015) Waziri Mkuu alisema Serikali inakusudia kuwasilisha muswada huo kwenye mkutano ujao wa Bunge unaotarajiwa kuanza Jumanne ijayo, (Machi 17).
Hata hivyo, Waziri Mkuu amewasihi Watanzania waondoe hofu iliyoenezwa na tetesi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani