Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sheria 33 kufanyiwa marekebisho Bunge lijalo

Serikali inakusudia kupeleka bungeni Muswada wa Marekebisho ya Sheria 33, baada ya kubaini kuwa zina upungufu katika matumizi yake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Sheria ya ubakaji kufanyiwa marekebisho-Morocco

Bunge la Morocco limeidhinisha sheria iliyoruhusu wanaume waliowabaka wasichana kutofunguliwa mashtaka ikiwa watawaoa waathiriwa wao

 

11 years ago

Mwananchi

Nchemba: Tutadhibiti fedha Bunge lijalo la Katiba

Naibu Waziri wa Fedha na naibu katibu mkuu wa CCM-Bara, Mwigulu Nchemba amesema wajumbe wa Bunge la Katiba linalotarajia kuanza baadaye Agosti hawatalipwa kwa mkupuo posho zote za siku 60 ikiwa ni mkakati wa kudhibiti utoro.

 

9 years ago

Mwananchi

Sitta: Nina sifa zote kuongoza Bunge lijalo

Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Samuel Sitta amesema kutokana na hali ya joto la kisiasa ilivyo,  ambayo ilidhihirika zaidi wakati wa uchaguzi, wabunge walioshinda wengi ni vijana na ni wazi spika anayehitajika ni mwenye uzoefu.

 

10 years ago

Habarileo

Marekebisho Sheria ya HESLB yaondolewa

Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma za Jamii, Margaret SittaSERIKALI imeondoa sehemu ya marekebisho ya sheria katika Sheria ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii, kupinga ikidai itawanyima fursa wanafunzi kutoka familia masikini kupata mikopo.

 

10 years ago

Habarileo

Marekebisho ya sheria ya ushahidi yaja

WAZIRI wa Katiba na Sheria Zanzibar, Abubakar Khamis Bakary amesema marekebisho ya sheria ya ushahidi ya mwaka 1917 yapo katika hatua za mwisho ngazi za watendaji wakuu.

 

10 years ago

Habarileo

Muswada wa Marekebisho Sheria ya Ubia wawasilishwa

Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk Mary NaguSERIKALI imewasilisha bungeni Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) kwa nia ya kuboresha usimamizi na uratibu wa masuala ya ubia kati ya pande hizo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge ataka marekebisho ya sheria sasa

Mbunge wa Viti Maalumu, Mariam Msabaha (Chadema) ameitaka Serikali kupeleka bungeni haraka sheria ya uhujumu uchumi ili ifanyiwe marekebisho ya kuongezewa nguvu.

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KUPELEKA BUNGENI MUSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali itawasilisha Bungeni Muswada wa Marekebisho ya Sheria Mbalimbali wenye sehemu 14 likiwemo suala la Mahakama ya Kadhi.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Magogoni jijini Dar es Salaam, jana jioni (Jumatano, Machi 11, 2015) Waziri Mkuu alisema Serikali inakusudia kuwasilisha muswada huo kwenye mkutano ujao wa Bunge unaotarajiwa kuanza Jumanne ijayo, (Machi 17).
Hata hivyo, Waziri Mkuu amewasihi Watanzania waondoe hofu iliyoenezwa na tetesi...

 

10 years ago

Habarileo

Wadau waanza kutoa maoni marekebisho ya sheria 33

KAMATI ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala, imeshaanza kukutana na wadau katika kupata maoni kufuatia Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria mbalimbali wa mwaka 2014, unaopendekeza kuzifanyia marekebisho sheria 33. Muswada huo utawasilishwa katika vikao vya Bunge vinavyotarajiwa kuanza Novemba 4, mwaka huu mjini Dodoma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani