Wadau waanza kutoa maoni marekebisho ya sheria 33
KAMATI ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala, imeshaanza kukutana na wadau katika kupata maoni kufuatia Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria mbalimbali wa mwaka 2014, unaopendekeza kuzifanyia marekebisho sheria 33. Muswada huo utawasilishwa katika vikao vya Bunge vinavyotarajiwa kuanza Novemba 4, mwaka huu mjini Dodoma.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi14 Jun
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3SLx6uzifaI/VYKoSqV_7gI/AAAAAAAHg3s/J16PWjut7kE/s72-c/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
MAHAKAMA YA RUFANI YAKUTANA NA WADAU WAKE KUTOA MAONI JUU YA KUMALIZA MASHAURI KWA WAKATI
![](http://4.bp.blogspot.com/-3SLx6uzifaI/VYKoSqV_7gI/AAAAAAAHg3s/J16PWjut7kE/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iXwZMwhcNXs/VYKoSFLfYdI/AAAAAAAHg3o/1yssgQjpmzU/s640/unnamed%2B%252845%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi15 Dec
11 years ago
MichuziOFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA YAKUTANISHA WADAU KUTOA MAONI KUHUSU MIKATABA YA UTENDAJI KAZI KATIKA TAASISI ZA UMMA
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Kura ya maoni marekebisho ya katiba Rwanda yaanza
Raia wa Rwanda akipiga kura ya maoni.
Wananchi wakiwa kwenye foleni wakisubiri zamu yao ya kupiga kura iwadie.
…wakisikiliza moja ya midahalo nchini humo.
Raia wa Rwanda wameanza kufika vituoni kushiriki kwenye kura ya maoni ya marekebisho ya katiba, ambayo yakiidhinishwa yatamruhusu Rais Paul Kagame kuwania urais kwa muhula wa tatu.
Vituo vya kupigia kura vilifunguliwa asubuhi na mapema, huku watu 6 milioni wakitarajiwa kupiga kura. Bw Kagame anatarajiwa kupiga kura katika kituo cha...
10 years ago
Habarileo19 Mar
Marekebisho ya sheria ya ushahidi yaja
WAZIRI wa Katiba na Sheria Zanzibar, Abubakar Khamis Bakary amesema marekebisho ya sheria ya ushahidi ya mwaka 1917 yapo katika hatua za mwisho ngazi za watendaji wakuu.
10 years ago
Habarileo23 Nov
Marekebisho Sheria ya HESLB yaondolewa
SERIKALI imeondoa sehemu ya marekebisho ya sheria katika Sheria ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii, kupinga ikidai itawanyima fursa wanafunzi kutoka familia masikini kupata mikopo.
11 years ago
Mwananchi17 May
Mbunge ataka marekebisho ya sheria sasa
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Sheria 33 kufanyiwa marekebisho Bunge lijalo