Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta: Nina sifa zote kuongoza Bunge lijalo

Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Samuel Sitta amesema kutokana na hali ya joto la kisiasa ilivyo,  ambayo ilidhihirika zaidi wakati wa uchaguzi, wabunge walioshinda wengi ni vijana na ni wazi spika anayehitajika ni mwenye uzoefu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Sitta apiga jaramba kuongoza Bunge

Siku moja baada ya kuteuliwa na CCM kuwania uenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amesema ameanza kupitia sheria na kanuni zitakazomwezesha kuliongoza huku akiahidi kutenda haki kwa wajumbe wote iwapo atachaguliwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta yu msalabani, kuongoza Bunge Maalumu la Katiba?

>Mkanganyiko pekee na uliobakia kwa Watanzania  wakiwamo wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ni viporo kwenye kanuni za 37 na 38, vinginevyo hali ya hewa ndani ya Bunge hilo imetulia.

 

9 years ago

Dewji Blog

Pires amwagia sifa Wanyama, asema ana sifa zote za kucheza Arsenal

robert-pires_3068381k

Robert Pires.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Robert Pires amemsifia mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Southampton, Victor Wanyama na kuwa ana sifa za kucheza Arsenal kutokana na ubora alionao.

Pires aliulizwa na mwandishi wa habari wa Kenya kuhusu uwezo wa Wanyama na kusema kuwa amekuwa akimwangalia mchezaji huyo na anamwona kama mchezaji mwenye uwezo mzuri ambao kama akiongeza juhudi anaweza katika ubora wa wachezaji bora wa dunia.

“Namjua Wanyama, ni balozi...

 

10 years ago

Mwananchi

Sheria 33 kufanyiwa marekebisho Bunge lijalo

Serikali inakusudia kupeleka bungeni Muswada wa Marekebisho ya Sheria 33, baada ya kubaini kuwa zina upungufu katika matumizi yake.

 

11 years ago

Mwananchi

Nchemba: Tutadhibiti fedha Bunge lijalo la Katiba

Naibu Waziri wa Fedha na naibu katibu mkuu wa CCM-Bara, Mwigulu Nchemba amesema wajumbe wa Bunge la Katiba linalotarajia kuanza baadaye Agosti hawatalipwa kwa mkupuo posho zote za siku 60 ikiwa ni mkakati wa kudhibiti utoro.

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa: Nina ari, shauku na uwezo wa kuongoza Tanzania

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Ngoyai Lowassa amesema ana ari, shauku na uwezo wa kuongoza Taifa wakati alipotangaza nia yake ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na maelfu ya watu kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

 

9 years ago

Bongo5

Shetta: Nina ngoma saba mpya na zote kali

Baada ya Shikirobo tarajia ngoma zingine kali kutoka kwa Shetta. Rapper huyo ameiambia Bongo5 kuwa ameandaa nyimbo saba mpya ambapo atachagua moja ya kutoka. Amesema muziki wa sasa unahitaji nyimbo nzuri na sio kubahatisha. “Watu wategemee ngoma kali, sitaki kuongea sana, video kali. Kuna ngoma kama saba nimeziandaa,” amesema Shetta. “Yeyote itatoka kwasababu muziki umekuwa […]

 

11 years ago

GPL

UKWELI MCHUNGU: WAPINZANI HAWANA SIFA ZA KUONGOZA NCHI (A COMPARATIVE ANALYSIS) - PAUL MAKONDA

Paul Makonda (UVCCM). SIASA ama chama chochote cha siasa ni zao la falsafa. Kuwa Mwanasiasa bila kuwa na falsafa ama kuwa na Chama cha Siasa ambacho hakina msingi wa falsafa ni kasoro kubwa ambayo hufanya mwanasiasa ama Chama Cha Siasa kutofanikiwa katika lengo lake kuu. Kukosa falsafa kunasababisha Mwanasiasa ama Chama Cha Siasa kutokuwa na dira ya kuifuata na matokeo yake ni kufanya siasa inayoegemea katika matukio na kukosoa...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Kuongoza Bunge lenye vijana changamoto’

Naibu Spika wa Bunge Job Ndugai, amesema hakuna kazi ngumu kama kuongoza Bunge hasa lenye wabunge vijana kama la kipindi hiki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani