Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Kuongoza Bunge lenye vijana changamoto’

Naibu Spika wa Bunge Job Ndugai, amesema hakuna kazi ngumu kama kuongoza Bunge hasa lenye wabunge vijana kama la kipindi hiki.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Sauti za Busara 2014: Tamasha kubwa Afrika lenye changamoto lukuki

>Unapozungumzia tamasha la Sauti za Busara, unazungumzia tamasha la Bara la Afrika na dunia nzima. Maana yake ni tamasha linalokusanya maelfu ya wageni wanaolishuhudia kila mwaka.

 

11 years ago

Mwananchi

Barack Obama apigia chapuo vijana kuongoza Afrika

Rais wa Marekani, Barack Obama amesema Afrika inahitaji viongozi vijana katika nyakati hizi, kwa kuwa ndiyo wenye uwezo wa kujenga uhuru, kujitegemea na usimamizi mzuri wa haki za raia na utawala wa sheria.

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta apiga jaramba kuongoza Bunge

Siku moja baada ya kuteuliwa na CCM kuwania uenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amesema ameanza kupitia sheria na kanuni zitakazomwezesha kuliongoza huku akiahidi kutenda haki kwa wajumbe wote iwapo atachaguliwa.

 

10 years ago

GPL

WAZIRI PINDA KUONGOZA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA WATOTO NA VIJANA WENYE ULEMAVU

Mmoja wa wataribu wa kongam, ano hilo kutoka FPTC, Lucas Mhenga akiwa na wadau. Baadhi ya waandaaji wa kongamano hilo wakiwa kwenye kikao kilichofanyika ndani ya ukumbi uliopo Luther House, Posta jijini Dar cha…

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta yu msalabani, kuongoza Bunge Maalumu la Katiba?

>Mkanganyiko pekee na uliobakia kwa Watanzania  wakiwamo wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ni viporo kwenye kanuni za 37 na 38, vinginevyo hali ya hewa ndani ya Bunge hilo imetulia.

 

9 years ago

Dewji Blog

UN, Serikali zataka vijana kuongoza katika kukabili mabadiliko tabia nchi Singida

IMG_4985

Mkuu wa wilaya ya Ikungi, Chigulu Charles akitoa neno la ukaribisho kwa Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez aliyeambatana na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Parseko Kone katika ziara ya kukagua miradi inayofadhiliwa na Mashirika ya Umoja wa Mataifa mkoani Singida.

Na Modewjiblog team, Singida

MRATIBU wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi mkazi wa Shirika la Mipango ya Maendeleola umoja huo (UNDP)...

 

9 years ago

Mwananchi

Sitta: Nina sifa zote kuongoza Bunge lijalo

Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Samuel Sitta amesema kutokana na hali ya joto la kisiasa ilivyo,  ambayo ilidhihirika zaidi wakati wa uchaguzi, wabunge walioshinda wengi ni vijana na ni wazi spika anayehitajika ni mwenye uzoefu.

 

10 years ago

Mwananchi

Takukuru yawapa changamoto vijana

Vijana wametakiwa kujitokeza kushiriki chaguzi mbalimbali nchini na kuondoa dhana kuwa wazee wanashinda kwa rushwa.

 

10 years ago

Michuzi

Vijana wapewa changamoto ya kutumia uzazi wa mpango

Afisa Vijana wa UMATI kutoka Temeke Bibi. Upendo Daud akimkabidhi zawadi ya machapisho kuhusu Afya ya uzazi wa mpango Mwenyekiti wa Mtaa wa Sabasaba ambaye pia alikuwa mgeni rasmi katika Jamvi la Vijana lililofanyika katika mtaa wake. Jamvi la Vijana ni program ambayo inaendeshwa na UMATI kupitia Kituo cha Vijana YAM kutoka Manispaa ya Temeke, Jamvi hilo la vijana limebeba kauli mbiu ya “Kijana ana haki ya juu ya uzazi wa mpango?”Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Sabasaba wakipata maelezo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani