Sitta apiga jaramba kuongoza Bunge
Siku moja baada ya kuteuliwa na CCM kuwania uenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amesema ameanza kupitia sheria na kanuni zitakazomwezesha kuliongoza huku akiahidi kutenda haki kwa wajumbe wote iwapo atachaguliwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Sitta yu msalabani, kuongoza Bunge Maalumu la Katiba?
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Sitta: Nina sifa zote kuongoza Bunge lijalo
11 years ago
Mwananchi08 Jan
‘Kuongoza Bunge lenye vijana changamoto’
11 years ago
Habarileo13 Aug
Mjumbe Bunge Maalum apiga kura hospitalini
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka kundi 201, Thomas Mgoli, ambaye alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, amelazimika kupiga kura hospitalini, kushiriki kufanya uamuzi wa ibara alizoshiriki kujadili katika Kamati yake.
10 years ago
GPL
MAKINDA KUONGOZA UJUMBE WA BUNGE LA SADC KUMZIKA RAIS SATA LUSAKA, ZAMBIA
10 years ago
Michuzi.jpg)
Makinda kuongoza ujumbe wa Bunge la SADC kumzika Rais Sata Lusaka , Zambia
.jpg)
Rais wa Bunge la SADC ambaye pia ndiye Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda kesho tarehe 10 Novemba, 2014 ataongoza ujumbe wa Bunge la SADC kushiriki Misa Maalum ya kuombea mwili wa aliyekuwa Rais wa Zambia marehemu Michael Chilufya Sata katika misa maalum itakayofanyika katika viwanja vya Makumbusho Mjini Lusaka, Zambia. Katika ujumbe...
10 years ago
GPL
RAIS KIKWETE ALIVYOWASILI DODOMA KUONGOZA VIKAO VYA CCM NA KULIHUTUBIA BUNGE
11 years ago
Mtanzania17 Oct
CCM, Ukawa wapiga jaramba
Na Pendo Mangala, Dodoma
MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, juzi alitumia muda mwingi kutoa elimu kwa wajumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho wanaokutana Dodoma, juu ya umuhimu wa Katiba inayopendekezwa.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya kamati hiyo kiliiambia MTANZANIA kwamba katika kikao hicho, Rais Kikwete aliwaeleza wajumbe kwa kina jinsi Sheria ya Madiliko ya Katiba inavyoshindwa kueleza kwa kina kuhusu upigaji kura ya maoni. Alisema hatua ya kukosekana...
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Kanuni za kuongoza #Bunge la #Katiba zawasilishwa, porojo za kupoteza muda sasa marufuku [VIDEO]