Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM, Ukawa wapiga jaramba

ukawa hawaNa Pendo Mangala, Dodoma

MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, juzi alitumia muda  mwingi kutoa elimu kwa wajumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho wanaokutana   Dodoma, juu ya umuhimu wa Katiba inayopendekezwa.

Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya kamati hiyo kiliiambia MTANZANIA  kwamba katika kikao hicho, Rais Kikwete aliwaeleza wajumbe kwa kina jinsi Sheria ya Madiliko ya Katiba inavyoshindwa kueleza kwa kina kuhusu upigaji kura ya maoni. Alisema hatua ya kukosekana...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wanawake ‘wapiga jaramba’ urais 2015

Wakati joto la kisiasa likiendelea kupanda kila siku, makundi mbalimbali ya wanawake yanaendesha kampeni za chinichini nchi nzima kuhakikisha kuwa anapatikana rais mwanamke katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.

 

9 years ago

Vijimambo

VIONGOZI WOTE WA CCM WA KATA YA MKOMAZI NA WAPIGA KURA 1,400 WA CCM WAHAMIA CHADEMA


Viongozi wote wa CCM wa kata ya mkomazi na pamoja na wapiga kura 1,400 wa eneo hilo wilayani Korogwe wamejiunga na CHADEMA huku baadhi yao wakiamua kugombea nafasi mbali mbali za uongozi kwa tiketi ya chama hicho.

Wakizungumza katika mkutano wa kampeni ulifanyika katika kijiji cha mikocheni kilichopo kata ya mkomazi wilayani Korogwe baadhi ya viongozi hao pamoja na wengine wa CCM katika kata sita waliokatwa majina yao katika zoezi la kura za maoni kwa tiketi ya CCM wamesema  wameamua kujiunga...

 

10 years ago

StarTV

UKAWA wataka zoezi uandikishwaji wapiga kura kusitishwa.

Na Seda Elias,

Dar es salaam

 

Wakati tume ya uchaguzi ikiwa imeanza zoezi la uandikishaji wapiga kura kwa kutumia mfumo wa kieletroniki wa BVR, Umoja wa katiba ya wananchi, UKAWA, umemtaka Rais Jakaya Kikwete kutoa tamko la kusitisha zoezi hilo ili kusawazisha changamoto zinazojitokeza, ili na kuwezesha watanzania wengi kuandikishwa.

 

Ikiwa ni siku ya pili tu ya zoezi hilo, tayari kunatajwa baadhi ya changamoto ambazo ni pamoja na mashine za BVR kushindwa kuhimili hali ya joto, upungufu wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta apiga jaramba kuongoza Bunge

Siku moja baada ya kuteuliwa na CCM kuwania uenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amesema ameanza kupitia sheria na kanuni zitakazomwezesha kuliongoza huku akiahidi kutenda haki kwa wajumbe wote iwapo atachaguliwa.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

WATANZANIA: Tunaiomba UKAWA Kususia Uchaguzi Iwapo NEC na ZEC itashindwa Kuweka Wazi Daftari la Wapiga Kura.

Nategemea habari hizi zitawafika Wahusika wakuu wa Vyama vya Vinavounda UKAWA.. Kama sisi no Wazalendo ambao Tuna kiu ya Mabadiliko ya Uongozi katika Serikali. Mara hii tumejitokeza Vijana wengi kutafuta Vichinjio ya Kuiondoa Serikali ya CCM […]

The post WATANZANIA: Tunaiomba UKAWA Kususia Uchaguzi Iwapo NEC na ZEC itashindwa Kuweka Wazi Daftari la Wapiga Kura. appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mtanzania

Wapiga kura wanaoelea waitisha CCM

Wawakilishi boraElias Msuya na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam

KATIBU wa Itikadi na Uendezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amesema licha ya matokeo ya utafiti wa taasisi ya Twaweza kuonesha kuwa chama hicho kinaongoza dhidi ya wapinzani, bado kuna wasiwasi wa kura za wananchi wasiofungamana na upande wowote (swing voters).

Akizungumza katika mjadala wa matokeo ya utafiti wa Twaweza wa Tanzania kuelekea 2015 uliozinduliwa jana jijini Dar es Salaam, Nape alisema kuna haja ya kuwaangalia wapiga kura...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mpaka hivi sasa tume ya Taifa NEC imeshindwa kuweka Daftari la Wapiga kura hadharani, Jee UKAWA wamejipanga vipi?

Huku kukiwa na wasiwasi mkubwa kwa Vyama vya Upinzani kuhusu Daftari la wapiga kura kutokuwekwa hadharani ili vyama vya siasa kupata nafasi ya kulipitia, Vyama vilivyo ungana UKAWA wamekuwa na shaka kubwa kuwa Tume ya Taifa […]

The post Mpaka hivi sasa tume ya Taifa NEC imeshindwa kuweka Daftari la Wapiga kura hadharani, Jee UKAWA wamejipanga vipi? appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Mwananchi

CCM wapiga magoti kuomba kura Kalenga

Chama cha Mapinduzi (CCM), kimeanza kutumia mbinu mpya ya kuwaomba wananchi wa Jimbo la Kelanga kwa makada wake kupiga magoti.

 

11 years ago

Mwananchi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani