Wanawake ‘wapiga jaramba’ urais 2015
Wakati joto la kisiasa likiendelea kupanda kila siku, makundi mbalimbali ya wanawake yanaendesha kampeni za chinichini nchi nzima kuhakikisha kuwa anapatikana rais mwanamke katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania17 Oct
CCM, Ukawa wapiga jaramba
Na Pendo Mangala, Dodoma
MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, juzi alitumia muda mwingi kutoa elimu kwa wajumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho wanaokutana Dodoma, juu ya umuhimu wa Katiba inayopendekezwa.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya kamati hiyo kiliiambia MTANZANIA kwamba katika kikao hicho, Rais Kikwete aliwaeleza wajumbe kwa kina jinsi Sheria ya Madiliko ya Katiba inavyoshindwa kueleza kwa kina kuhusu upigaji kura ya maoni. Alisema hatua ya kukosekana...
9 years ago
BBCSwahili12 Dec
Wanawake wapiga kura mara ya kwanza Saudia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YsTyeLVttoj5UO14Xk-hyUt0AI5nSrbjdloqXQQ2fdVwZqgprguL4Y**rgiDjhuCBUT7VCTyzOCJu4Yu1XCo-P14Fot1a1kB/1.jpg)
WANAWAKE WAPIGA PICHA ZA UTUPU KUCHANGISHA FEDHA UINGEREZA
10 years ago
MichuziTUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUANZA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU WAPIGA KURA RASMI KWA MFUMO WA BVR MKOANI KAGERA KUANA KESHO MEI 21, 2015 HADI JUNI 18, 2015
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-g3Cdedk0SWI/VKQZHk_9wtI/AAAAAAAAAL0/CmZzCZMqeFU/s72-c/Sheik-29Dec2014.jpg)
Utabiri: Mgombea Urais kufa akitafuta urais 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-g3Cdedk0SWI/VKQZHk_9wtI/AAAAAAAAAL0/CmZzCZMqeFU/s640/Sheik-29Dec2014.jpg)
Mrithi wa Mnajimu na Mtabiri wa Afrika Mashariki, Kati na Kusini, Marehemu Sheikh Yahya Hussein, Alhaj Maalim Hassan Yahya Hussein, ametabiri kwamba kiongozi mmoja mzee aliye kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais, atadondoka ghafla kwenye jukwaa na kufa mwakani.Amesema kiongozi huyo, ambaye hakumtaja jina, atafariki dunia baada ya tukio hilo wakati akikimbizwa hospitali.Alitangaza utabiri huo, alipozungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam jana, kuhusu kutumia kwa utabiri...
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Sitta apiga jaramba kuongoza Bunge
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FWhS5528qhI/VQ7Ejxct8KI/AAAAAAAAb_U/TOi94DX3bdI/s72-c/1.jpg)
LOWASSA AZIDI KUHAMASIKA JUU YA KUTANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS, AWAHIMIZA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWA WINGI DAFTARI LA WAPIGA KURA
![](http://1.bp.blogspot.com/-FWhS5528qhI/VQ7Ejxct8KI/AAAAAAAAb_U/TOi94DX3bdI/s1600/1.jpg)
Lowassa amesema anazidi kuhamasika kufuatia maombi ya watu wa makundi mbalimbali ya jamii wanao muomba kugombea urais mwaka...
10 years ago
Habarileo09 Mar
JK: Wanawake jitokezeni Urais
WAKATI joto la kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu likiendelea kupanda, Rais Jakaya amewataka wanawake nchini kujiamini na kutohofia kuwania Urais, akisema wanaweza na hawakuwahi kumwangusha.
9 years ago
Michuzi20 Aug