Wapiga kura wanaoelea waitisha CCM
Elias Msuya na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
KATIBU wa Itikadi na Uendezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amesema licha ya matokeo ya utafiti wa taasisi ya Twaweza kuonesha kuwa chama hicho kinaongoza dhidi ya wapinzani, bado kuna wasiwasi wa kura za wananchi wasiofungamana na upande wowote (swing voters).
Akizungumza katika mjadala wa matokeo ya utafiti wa Twaweza wa Tanzania kuelekea 2015 uliozinduliwa jana jijini Dar es Salaam, Nape alisema kuna haja ya kuwaangalia wapiga kura...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI WAPIGA KURA NEC
5 years ago
CCM BlogWAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA NEC
9 years ago
VijimamboVIONGOZI WOTE WA CCM WA KATA YA MKOMAZI NA WAPIGA KURA 1,400 WA CCM WAHAMIA CHADEMA
Viongozi wote wa CCM wa kata ya mkomazi na pamoja na wapiga kura 1,400 wa eneo hilo wilayani Korogwe wamejiunga na CHADEMA huku baadhi yao wakiamua kugombea nafasi mbali mbali za uongozi kwa tiketi ya chama hicho.Wakizungumza katika mkutano wa kampeni ulifanyika katika kijiji cha mikocheni kilichopo kata ya mkomazi wilayani Korogwe baadhi ya viongozi hao pamoja na wengine wa CCM katika kata sita waliokatwa majina yao katika zoezi la kura za maoni kwa tiketi ya CCM wamesema wameamua kujiunga...
11 years ago
Mwananchi03 Mar
CCM wapiga magoti kuomba kura Kalenga
11 years ago
Mwananchi03 Apr
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Sep
“CCM Kutumia SERA NA ILANI ZA UONGO: “Lengo Nikubadilisha Imani ya Wapiga Kura”
Asalamu Alaikhum Warahmatullah Wabarakatuhu Ndugu Wazanzibari wenzangu wa Ndani na Nje ya Visiwa Vyetu Adhimu. Ama mimi sina budi ila kumshukuru Allah (SW) Kwakunipa Uzim na wasia wakuandika makala hii ambayo naamini Inaweza kuwa-amsha Wazanzibari wenzangu […]
The post “CCM Kutumia SERA NA ILANI ZA UONGO: “Lengo Nikubadilisha Imani ya Wapiga Kura” appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
VijimamboKINANA AWASHUKURU WAPIGA KURA WALIOICHAGUA CCM KWENYE UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
9 years ago
Mtanzania02 Dec
Mgogoro Zanzibar waitisha CCM
*Yaunga mkono juhudi za Dk. Magufuli
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amesema mgogoro wa kisiasa visiwani Zanzibar unaitia doa Tanzania kwenye uso wa kimataifa, licha ya kwamba Serikali ya awamu ya tano imeanza kutekeleza vizuri majukumu yake.
Nape ambaye jana alitembelea ofisi za Kampuni ya New Habari (2006) Ltd zilizopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam, alisema kinachofanywa na Rais Dk. John Magufuli kwa sasa ni...
10 years ago
Mwananchi27 Jul
Ukawa sasa waitisha CCM
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10