Mgogoro Zanzibar waitisha CCM
*Yaunga mkono juhudi za Dk. Magufuli
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amesema mgogoro wa kisiasa visiwani Zanzibar unaitia doa Tanzania kwenye uso wa kimataifa, licha ya kwamba Serikali ya awamu ya tano imeanza kutekeleza vizuri majukumu yake.
Nape ambaye jana alitembelea ofisi za Kampuni ya New Habari (2006) Ltd zilizopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam, alisema kinachofanywa na Rais Dk. John Magufuli kwa sasa ni...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Jul
Ukawa sasa waitisha CCM
10 years ago
Mtanzania13 Nov
Wapiga kura wanaoelea waitisha CCM
Elias Msuya na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
KATIBU wa Itikadi na Uendezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amesema licha ya matokeo ya utafiti wa taasisi ya Twaweza kuonesha kuwa chama hicho kinaongoza dhidi ya wapinzani, bado kuna wasiwasi wa kura za wananchi wasiofungamana na upande wowote (swing voters).
Akizungumza katika mjadala wa matokeo ya utafiti wa Twaweza wa Tanzania kuelekea 2015 uliozinduliwa jana jijini Dar es Salaam, Nape alisema kuna haja ya kuwaangalia wapiga kura...
10 years ago
VijimamboKIKAO CHA KAMATI MAALUM YA CCM ZANZIBAR. YAPITISHA JINA LA DK SHEIN KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KUPITIA CCM.
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Mgogoro Zanzibar wakwaza muungano
9 years ago
Michuzi24 Nov
Mgogoro wa Zanzibar watua ikulu ya Marekani
Wakati vikao vya siri vya kutafuta suluhu ya mzozo wa kisiasa visiwani Zanzibar vikiwa vimeripotiwa, juhudi za kuupatia ufumbuzi mzozo huo zimehamia kutoka Ikulu ya Zanzibar na kufika Ikulu ya Marekani (White House).
![](https://scontent-iad3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t34.0-12/12272714_10156211149995247_414495856_n.jpg?oh=55e5abf7e89e1b9adf171550ef031ba9&oe=56551177)
Mnamo tarehe 21 mwezi huu, Wazanzibari waishio nchini Marekani waliandamana hadi kwenye Ikulu ya nchi hiyo katika juhudi za kutafuta uingiliaji kati wa kimataifa ili...
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Marekani yamtaka Magufuli kumaliza mgogoro Zanzibar
9 years ago
Mwananchi14 Nov
Mgogoro wa Zanzibar kuhatarisha soka visiwani humo
9 years ago
Mwananchi28 Nov
Tunataka tusikie kauli ya pamoja mgogoro wa uchaguzi Zanzibar
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WnPbYMT2cxd5Sbqk6PWuhIsdZLHTm3MRLxCRWDyPmmmJ*0fxfkf9LptAjSrj0RI99n6yUY5OIsuOaY0zYelye1qDNZ2XQkLT/pombe.jpg?width=650)
TUMUOMBEE MAGUFULI; ANAKABILI MGOGORO ULIODUMU MIAKA 50 ZANZIBAR