Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgogoro Zanzibar waitisha CCM

Pg 2 DEC 2*Yaunga mkono juhudi za Dk. Magufuli

 

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amesema mgogoro wa kisiasa visiwani Zanzibar unaitia doa Tanzania kwenye uso wa kimataifa, licha ya kwamba Serikali ya awamu ya tano imeanza kutekeleza vizuri majukumu yake.

Nape ambaye jana alitembelea ofisi za Kampuni ya New Habari (2006) Ltd zilizopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam, alisema kinachofanywa na Rais Dk. John Magufuli kwa sasa ni...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ukawa sasa waitisha CCM

>Mwenyekiti wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Freeman Mbowe amesema kampeni za mwaka huu zitakazofanywa na umoja huo, hazijawahi kuonekana tangu nchi ipate uhuru 1961.

 

10 years ago

Mtanzania

Wapiga kura wanaoelea waitisha CCM

Wawakilishi boraElias Msuya na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam

KATIBU wa Itikadi na Uendezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amesema licha ya matokeo ya utafiti wa taasisi ya Twaweza kuonesha kuwa chama hicho kinaongoza dhidi ya wapinzani, bado kuna wasiwasi wa kura za wananchi wasiofungamana na upande wowote (swing voters).

Akizungumza katika mjadala wa matokeo ya utafiti wa Twaweza wa Tanzania kuelekea 2015 uliozinduliwa jana jijini Dar es Salaam, Nape alisema kuna haja ya kuwaangalia wapiga kura...

 

10 years ago

Vijimambo

KIKAO CHA KAMATI MAALUM YA CCM ZANZIBAR. YAPITISHA JINA LA DK SHEIN KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KUPITIA CCM.

WAJUMBE wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar wakiwa katika ukumbi wa Mkutano Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandua kwa ajili ya kupitisha Jina la Mgombea Nafasi ya Urais wa Zanzibar Dk. Shein,MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Makamu wa Rais wa Dkt. Mohammed Gharib Bilal wakati wa Kikao cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar ilokutana kupitisha Jina la Mgombea wa Urais wa Zanzibar.VIONGOZI wa Meza Kuu wakiwa wamesimama baada ya kuingia katika ukumbi wa Mkutano.NAIBU Katibu...

 

9 years ago

Mwananchi

Mgogoro Zanzibar wakwaza muungano

Kuendelea kwa sintofahamu baada ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar kufutwa imeelezwa kusababisha mikwamo ya kisiasa, ikiwamo kushindwa kukamilika utimilifu wa Bunge na sura ya baraza la mawaziri.

 

9 years ago

Michuzi

Mgogoro wa Zanzibar watua ikulu ya Marekani

Na Mwandishi Maalum, Washington 
Wakati vikao vya siri vya kutafuta suluhu ya mzozo wa kisiasa visiwani Zanzibar vikiwa vimeripotiwa, juhudi za kuupatia ufumbuzi mzozo huo zimehamia kutoka Ikulu ya Zanzibar na kufika Ikulu ya Marekani (White House).Wanachama wa ZADIA kutoka majimbo tafauti Nchini Marekani wakionyesha mabango yao.
Mnamo tarehe 21 mwezi huu, Wazanzibari waishio nchini Marekani waliandamana hadi kwenye Ikulu ya nchi hiyo katika juhudi za kutafuta uingiliaji kati wa kimataifa ili...

 

9 years ago

Mwananchi

Marekani yamtaka Magufuli kumaliza mgogoro Zanzibar

Siku moja baada ya Dk John Magufuli kuapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marekani imeitaka Serikali yake kuutafutia ufumbuzi wa haraka mgogoro wa Zanzibar.

 

9 years ago

Mwananchi

Mgogoro wa Zanzibar kuhatarisha soka visiwani humo

Hali ya baadaye ya soka la Zanzibar ipo katika giza kubwa baada ya kushindikana kufuta kesi iliyofunguliwa na aliyekuwa Makamu wa Rais wa Chama Cha Soka Zanzibar (ZFA), Haji Ameir dhidi ya viongozi wenzake.

 

9 years ago

Mwananchi

Tunataka tusikie kauli ya pamoja mgogoro wa uchaguzi Zanzibar

Baadhi ya vyombo vya habari jana vilimkariri Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi akisema kwamba viongozi wa Serikali na vyama vya siasa visiwani humo wameifikia makubaliano ya kurudiwa kwa Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi.

 

9 years ago

GPL

TUMUOMBEE MAGUFULI; ANAKABILI MGOGORO ULIODUMU MIAKA 50 ZANZIBAR

 Rais mchapa kazi, Dk. John Pombe Joseph Magufuli. TUMSHUKURU Mungu kwa kuwa tumempata rais mchapa kazi, Dk. John Pombe Joseph Magufuli aliyeapishwa Alhamisi iliyopita jijini Dar es Salaam.Lakini wakati tunafurahia tukio hilo, wengi hatuna furaha kutokana na rais huyo kubeba mgogoro mzito wa kisiasa visiwani Zanzibar ambao umedumu kwa miaka 50 sasa tangu tuungane mwaka 1964. Maalim Seif Sharif Hamadi. Wazanzibari wamekuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani