Mgogoro Zanzibar wakwaza muungano
Kuendelea kwa sintofahamu baada ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar kufutwa imeelezwa kusababisha mikwamo ya kisiasa, ikiwamo kushindwa kukamilika utimilifu wa Bunge na sura ya baraza la mawaziri.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo04 Nov
“MAKENGEZA’ YANAYOLETA MGOGORO WA MUUNGANO
![](http://api.ning.com/files/06WphArD*Msb8TGzTUKYLQH51i8mkdSRnegeoEnKlzqF3vEYpjM7hLA4jxR-wrbb5wQV*TwnDU5A2AsGz*Ehfm3Iaus5JI3T/shariff.jpg?width=650)
KUNA mambo mengi ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambayo yamekuwa yakiutesa. Lakini Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamadi aliiambia Tume ya Warioba iliyokuwa ikishughulikia rasimu ya katiba mambo hayo.
Kwa faida ya wasomaji wetu, leo tunawadonolea kwani anatuletea kumbukumbu za miaka ya nyuma sana ‘makengeza’ ya muungano ambayo yanasumbua hadi sasa.
Katika makubaliano ya kimataifa...
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Tanganyika kuwamo ndani ya Katiba ya Muungano bila Zanzibar ni kuua Muungano
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/06WphArD*Msb8TGzTUKYLQH51i8mkdSRnegeoEnKlzqF3vEYpjM7hLA4jxR-wrbb5wQV*TwnDU5A2AsGz*Ehfm3Iaus5JI3T/shariff.jpg?width=650)
“MAKENGEZA’ YANAYOLETA MGOGORO WA MUUNGANO
11 years ago
Mwananchi04 Jun
KUTOKA ZANZIBAR: Yako wapi mapato ya Zanzibar katika Muungano?
9 years ago
Mtanzania02 Dec
Mgogoro Zanzibar waitisha CCM
*Yaunga mkono juhudi za Dk. Magufuli
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amesema mgogoro wa kisiasa visiwani Zanzibar unaitia doa Tanzania kwenye uso wa kimataifa, licha ya kwamba Serikali ya awamu ya tano imeanza kutekeleza vizuri majukumu yake.
Nape ambaye jana alitembelea ofisi za Kampuni ya New Habari (2006) Ltd zilizopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam, alisema kinachofanywa na Rais Dk. John Magufuli kwa sasa ni...
9 years ago
Michuzi24 Nov
Mgogoro wa Zanzibar watua ikulu ya Marekani
Wakati vikao vya siri vya kutafuta suluhu ya mzozo wa kisiasa visiwani Zanzibar vikiwa vimeripotiwa, juhudi za kuupatia ufumbuzi mzozo huo zimehamia kutoka Ikulu ya Zanzibar na kufika Ikulu ya Marekani (White House).
![](https://scontent-iad3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t34.0-12/12272714_10156211149995247_414495856_n.jpg?oh=55e5abf7e89e1b9adf171550ef031ba9&oe=56551177)
Mnamo tarehe 21 mwezi huu, Wazanzibari waishio nchini Marekani waliandamana hadi kwenye Ikulu ya nchi hiyo katika juhudi za kutafuta uingiliaji kati wa kimataifa ili...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Mfumo wa elimu wakwaza wazazi
UTAFITI wa Taasisi ya Twaweza, umebaini kuwa wazazi hawana matumaini na mfumo wa elimu unaotumika hivi sasa kufundishia kama utawasaidia watoto kupata ujuzi na stadi kwa kiwango wanachostahili kupata wakiwa...
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Marekani yamtaka Magufuli kumaliza mgogoro Zanzibar
9 years ago
Mwananchi14 Nov
Mgogoro wa Zanzibar kuhatarisha soka visiwani humo