Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgogoro Zanzibar wakwaza muungano

Kuendelea kwa sintofahamu baada ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar kufutwa imeelezwa kusababisha mikwamo ya kisiasa, ikiwamo kushindwa kukamilika utimilifu wa Bunge na sura ya baraza la mawaziri.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

“MAKENGEZA’ YANAYOLETA MGOGORO WA MUUNGANO

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamadi akizungumza jambo.
KUNA mambo mengi ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambayo yamekuwa yakiutesa. Lakini Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamadi aliiambia Tume ya Warioba iliyokuwa ikishughulikia rasimu ya katiba mambo hayo.

Kwa faida ya wasomaji wetu, leo tunawadonolea kwani anatuletea kumbukumbu za miaka ya nyuma sana ‘makengeza’ ya muungano ambayo yanasumbua hadi sasa.
Katika makubaliano ya kimataifa...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanganyika kuwamo ndani ya Katiba ya Muungano bila Zanzibar ni kuua Muungano

Leo nijikite katika kuongeza uelewa juu ya tofauti iliyopo kati ya mambo ya muungano na yasiyo ya muungano. Nchi yetu inatokana na muungano wa zilizokuwa nchi mbili huru kwa maana ya Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ambazo ziliwezesha kuundwa kwa nchi mpya, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

10 years ago

GPL

“MAKENGEZA’ YANAYOLETA MGOGORO WA MUUNGANO

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamadi akizungumza jambo. KUNA mambo mengi ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambayo yamekuwa yakiutesa. Lakini Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamadi aliiambia Tume ya Warioba iliyokuwa ikishughulikia rasimu ya katiba mambo hayo. Kwa faida ya wasomaji wetu, leo tunawadonolea kwani anatuletea kumbukumbu za miaka ya nyuma sana...

 

11 years ago

Mwananchi

KUTOKA ZANZIBAR: Yako wapi mapato ya Zanzibar katika Muungano?

>Tumesikia matamshi ya mbunge wa Nkasi Kaskazini kupitia CCM, Ally Mohammed Keissy alipochangia bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akisema Zanzibar haichangii katika Muungano, hivyo haina haki ya kuhoji mambo ya upande wa pili.

 

9 years ago

Mtanzania

Mgogoro Zanzibar waitisha CCM

Pg 2 DEC 2*Yaunga mkono juhudi za Dk. Magufuli

 

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amesema mgogoro wa kisiasa visiwani Zanzibar unaitia doa Tanzania kwenye uso wa kimataifa, licha ya kwamba Serikali ya awamu ya tano imeanza kutekeleza vizuri majukumu yake.

Nape ambaye jana alitembelea ofisi za Kampuni ya New Habari (2006) Ltd zilizopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam, alisema kinachofanywa na Rais Dk. John Magufuli kwa sasa ni...

 

9 years ago

Michuzi

Mgogoro wa Zanzibar watua ikulu ya Marekani

Na Mwandishi Maalum, Washington 
Wakati vikao vya siri vya kutafuta suluhu ya mzozo wa kisiasa visiwani Zanzibar vikiwa vimeripotiwa, juhudi za kuupatia ufumbuzi mzozo huo zimehamia kutoka Ikulu ya Zanzibar na kufika Ikulu ya Marekani (White House).Wanachama wa ZADIA kutoka majimbo tafauti Nchini Marekani wakionyesha mabango yao.
Mnamo tarehe 21 mwezi huu, Wazanzibari waishio nchini Marekani waliandamana hadi kwenye Ikulu ya nchi hiyo katika juhudi za kutafuta uingiliaji kati wa kimataifa ili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfumo wa elimu wakwaza wazazi

UTAFITI wa Taasisi ya Twaweza, umebaini kuwa wazazi hawana matumaini na mfumo wa elimu unaotumika hivi sasa kufundishia kama utawasaidia watoto kupata ujuzi na stadi kwa kiwango wanachostahili kupata wakiwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Marekani yamtaka Magufuli kumaliza mgogoro Zanzibar

Siku moja baada ya Dk John Magufuli kuapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marekani imeitaka Serikali yake kuutafutia ufumbuzi wa haraka mgogoro wa Zanzibar.

 

9 years ago

Mwananchi

Mgogoro wa Zanzibar kuhatarisha soka visiwani humo

Hali ya baadaye ya soka la Zanzibar ipo katika giza kubwa baada ya kushindikana kufuta kesi iliyofunguliwa na aliyekuwa Makamu wa Rais wa Chama Cha Soka Zanzibar (ZFA), Haji Ameir dhidi ya viongozi wenzake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani