Marekani yamtaka Magufuli kumaliza mgogoro Zanzibar
Siku moja baada ya Dk John Magufuli kuapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marekani imeitaka Serikali yake kuutafutia ufumbuzi wa haraka mgogoro wa Zanzibar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Jul
Obama: Marekani kumaliza mgogoro Gaza
9 years ago
Michuzi24 Nov
Mgogoro wa Zanzibar watua ikulu ya Marekani
Wakati vikao vya siri vya kutafuta suluhu ya mzozo wa kisiasa visiwani Zanzibar vikiwa vimeripotiwa, juhudi za kuupatia ufumbuzi mzozo huo zimehamia kutoka Ikulu ya Zanzibar na kufika Ikulu ya Marekani (White House).
![](https://scontent-iad3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t34.0-12/12272714_10156211149995247_414495856_n.jpg?oh=55e5abf7e89e1b9adf171550ef031ba9&oe=56551177)
Mnamo tarehe 21 mwezi huu, Wazanzibari waishio nchini Marekani waliandamana hadi kwenye Ikulu ya nchi hiyo katika juhudi za kutafuta uingiliaji kati wa kimataifa ili...
9 years ago
BBCSwahili07 Nov
Magufuli aagizwa kumaliza mzozo Zanzibar
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WnPbYMT2cxd5Sbqk6PWuhIsdZLHTm3MRLxCRWDyPmmmJ*0fxfkf9LptAjSrj0RI99n6yUY5OIsuOaY0zYelye1qDNZ2XQkLT/pombe.jpg?width=650)
TUMUOMBEE MAGUFULI; ANAKABILI MGOGORO ULIODUMU MIAKA 50 ZANZIBAR
10 years ago
Habarileo16 Jan
RC kumaliza mgogoro wa ardhi Nyakato
KATIKA kukabiliana na mgogoro wa ardhi katika eneo la Mahangu C kata ya Nyakato wilayani Ilemela, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo ameahidi kupeleka wataalamu wengine kwa ajilii ya kufanya uhakiki mpya.
10 years ago
Habarileo04 Apr
Pinda aombwa kumaliza mgogoro wa wafanyabiashara
SERIKALI imetakiwa kuchukua hatua za haraka kuzuia migogoro ya jumuiya ya wafanyabiashara nchini kwa kuwa imekuwa chanzo kikubwa cha kuporomoka kwa uchumi wa nchi.
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
SPLM kumaliza mgogoro Sudan Kusini
11 years ago
Habarileo12 Dec
Pinda aagiza mkutano kumaliza mgogoro
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameingilia kati mgogoro wa vijiji viwili vya wilaya za Sikonge na Manyoni, na kuagiza kuitishwe mkutano utakaowashirikisha wanavijiji husika.
9 years ago
Mwananchi21 Dec
ACT wataja mbinu kumaliza mgogoro Z’bar