Pinda aombwa kumaliza mgogoro wa wafanyabiashara
SERIKALI imetakiwa kuchukua hatua za haraka kuzuia migogoro ya jumuiya ya wafanyabiashara nchini kwa kuwa imekuwa chanzo kikubwa cha kuporomoka kwa uchumi wa nchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo12 Dec
Pinda aagiza mkutano kumaliza mgogoro
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameingilia kati mgogoro wa vijiji viwili vya wilaya za Sikonge na Manyoni, na kuagiza kuitishwe mkutano utakaowashirikisha wanavijiji husika.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GSUStKiGRWs/VDGfbgukP9I/AAAAAAAGoIw/y44L9PfHNCo/s72-c/pinda2.jpg)
PINDA: VIONGOZI WA MKOA TUMIENI BUSARA KUMALIZA MGOGORO WA KISIASA KAGERA
![](http://4.bp.blogspot.com/-GSUStKiGRWs/VDGfbgukP9I/AAAAAAAGoIw/y44L9PfHNCo/s1600/pinda2.jpg)
Ametoa wito huo jana usiku (Jumamosi, Oktoba 5, 2014) wakati akizungumza na viongozi na watendaji wa Serikali wa mkoa huo mara baada ya kupokea taarifa ya mkoa huo iliyowasilishwa kwake na Mkuu wa Mkoa huo, Kanali (Mst) Fabian Massawe.
Waziri Mkuu aliwasili Bukoba jana jioni akitokea Dodoma ili kumwakilisha Rais Jakaya...
9 years ago
StarTV14 Nov
Rais Magufuli aombwa kuteua Mbunge atakayewakilisha wafanyabiashara wadogowadogo
Wamachinga mkoani Mbeya wamuomba Rais John Magufuli kutenga nafasi moja kati ya viti kumi vya wabunge wa kuteuliwa vilivyo chini ya mamlaka yake kwa ajili ya mwakilishi mmoja wa kundi la vijana wanaofanya biashara ndogondogo kote nchini.
Wamachinga hao wamemuomba Rais Magufuli kumteua Mbunge wa kundi hilo maalum nchini ili kuwapa fursa ya kufikisha kero na mapendekezo yao serikalini kwa lengo la kuondoa changamoto zinazowakabili katika shughuli zao na misuguano iliyopo baina yao na...
10 years ago
Habarileo16 Jan
RC kumaliza mgogoro wa ardhi Nyakato
KATIKA kukabiliana na mgogoro wa ardhi katika eneo la Mahangu C kata ya Nyakato wilayani Ilemela, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo ameahidi kupeleka wataalamu wengine kwa ajilii ya kufanya uhakiki mpya.
11 years ago
BBCSwahili11 Jul
Obama: Marekani kumaliza mgogoro Gaza
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
SPLM kumaliza mgogoro Sudan Kusini
9 years ago
Mwananchi21 Dec
ACT wataja mbinu kumaliza mgogoro Z’bar
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Marekani yamtaka Magufuli kumaliza mgogoro Zanzibar
10 years ago
Mwananchi02 Apr
Mgogoro wa wafanyabiashara usiingizwe siasa