Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ACT wataja mbinu kumaliza mgogoro Z’bar

Chama cha ACT- Wazalendo kimetoa mapendekezo matatu ya kumaliza mgogoro wa kisiasa Zanzibar ili kuwaondolea wananchi wa visiwani humo hali ngumu ya maisha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mbinu za kumaliza mbumbumbu shule za msingi

>Tatizo la wanafunzi wa shule za msingi wakiwemo wahitimu wa darasa la saba kutojua kusoma, kuandika na kuhesabu, linazidi kushika kasi kiasi cha kuwashughulisha wadau wengi wa elimu nchini.

 

10 years ago

Habarileo

RC kumaliza mgogoro wa ardhi Nyakato

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo.KATIKA kukabiliana na mgogoro wa ardhi katika eneo la Mahangu C kata ya Nyakato wilayani Ilemela, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo ameahidi kupeleka wataalamu wengine kwa ajilii ya kufanya uhakiki mpya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama: Marekani kumaliza mgogoro Gaza

Rais wa Marekani Barak Obama amesema nchi yake inajiandaa kusaidia kumaliza mgogoro katika Gaza kati ya Israel na Hamas.

 

10 years ago

BBCSwahili

SPLM kumaliza mgogoro Sudan Kusini

Vikundi vinavyopingana nchini Sudan Kusini vimesaini mkataba wa amani nchini Tanzania, ukilenga kumaliza mgogoro ulioua maelfu ya watu katika taifa hilo

 

10 years ago

Habarileo

Pinda aombwa kumaliza mgogoro wa wafanyabiashara

SERIKALI imetakiwa kuchukua hatua za haraka kuzuia migogoro ya jumuiya ya wafanyabiashara nchini kwa kuwa imekuwa chanzo kikubwa cha kuporomoka kwa uchumi wa nchi.

 

11 years ago

Habarileo

Pinda aagiza mkutano kumaliza mgogoro

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameingilia kati mgogoro wa vijiji viwili vya wilaya za Sikonge na Manyoni, na kuagiza kuitishwe mkutano utakaowashirikisha wanavijiji husika.

 

9 years ago

Mwananchi

Marekani yamtaka Magufuli kumaliza mgogoro Zanzibar

Siku moja baada ya Dk John Magufuli kuapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marekani imeitaka Serikali yake kuutafutia ufumbuzi wa haraka mgogoro wa Zanzibar.

 

5 years ago

Michuzi

JAJI KAHYOZA: MBINU TULIZOJIWEKEA ZIMETUSAIDIA KUMALIZA MASHAURI KWA WAKATI.

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Musoma, Mhe. John Kahyoza akizungumzia kuhusu maboresho ya miundombinu ya Mahakama yalivyorahisisha utoaji haki.



Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mhe. Adam Kighoma Malima akizungumia kuhusu kuwepo kwa baada ya Mahakama ya Tanzania kufanya uboreshaji wa miundombinu ya Mahakama yalivyorahisisha utoaji haki na kuokoa gharama kwa wananchi wa eneo hilo.


Mtendaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Musoma, Bw. Festo Chonya akizungumzia kuhusu maboresho...

 

10 years ago

Michuzi

PINDA: VIONGOZI WA MKOA TUMIENI BUSARA KUMALIZA MGOGORO WA KISIASA KAGERA

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda ameutaka uongozi wa mkoa wa Kagera ukae na kuzungumza ili kutafuta ufumbuzi wa mgogoro wa kisiasa katika Manispaa ya Bukoba kwa manufaa ya wananchi. 
Ametoa wito huo jana usiku (Jumamosi, Oktoba 5, 2014) wakati akizungumza na viongozi na watendaji wa Serikali wa mkoa huo mara baada ya kupokea taarifa ya mkoa huo iliyowasilishwa kwake na Mkuu wa Mkoa huo, Kanali (Mst) Fabian Massawe.
Waziri Mkuu aliwasili Bukoba jana jioni akitokea Dodoma ili kumwakilisha Rais Jakaya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani