Pinda aagiza mkutano kumaliza mgogoro
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameingilia kati mgogoro wa vijiji viwili vya wilaya za Sikonge na Manyoni, na kuagiza kuitishwe mkutano utakaowashirikisha wanavijiji husika.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo04 Apr
Pinda aombwa kumaliza mgogoro wa wafanyabiashara
SERIKALI imetakiwa kuchukua hatua za haraka kuzuia migogoro ya jumuiya ya wafanyabiashara nchini kwa kuwa imekuwa chanzo kikubwa cha kuporomoka kwa uchumi wa nchi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GSUStKiGRWs/VDGfbgukP9I/AAAAAAAGoIw/y44L9PfHNCo/s72-c/pinda2.jpg)
PINDA: VIONGOZI WA MKOA TUMIENI BUSARA KUMALIZA MGOGORO WA KISIASA KAGERA
![](http://4.bp.blogspot.com/-GSUStKiGRWs/VDGfbgukP9I/AAAAAAAGoIw/y44L9PfHNCo/s1600/pinda2.jpg)
Ametoa wito huo jana usiku (Jumamosi, Oktoba 5, 2014) wakati akizungumza na viongozi na watendaji wa Serikali wa mkoa huo mara baada ya kupokea taarifa ya mkoa huo iliyowasilishwa kwake na Mkuu wa Mkoa huo, Kanali (Mst) Fabian Massawe.
Waziri Mkuu aliwasili Bukoba jana jioni akitokea Dodoma ili kumwakilisha Rais Jakaya...
10 years ago
Habarileo16 Jan
RC kumaliza mgogoro wa ardhi Nyakato
KATIKA kukabiliana na mgogoro wa ardhi katika eneo la Mahangu C kata ya Nyakato wilayani Ilemela, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo ameahidi kupeleka wataalamu wengine kwa ajilii ya kufanya uhakiki mpya.
11 years ago
BBCSwahili11 Jul
Obama: Marekani kumaliza mgogoro Gaza
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
SPLM kumaliza mgogoro Sudan Kusini
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Marekani yamtaka Magufuli kumaliza mgogoro Zanzibar
9 years ago
Mwananchi21 Dec
ACT wataja mbinu kumaliza mgogoro Z’bar
10 years ago
Dewji Blog21 Mar
Mh. Lukuvi aagiza uongozi wa mkoa wa Manyara kumaliza migogoro ya ardhi kabla ya mwezi Mei mwaka huu
Mkuu wa mkoa wa Manyara ,Mhe.Joel Nkaya Bendera akizungumza katika kikao cha viongozi wa wilaya zote za mkoa huo kilichofanyika ofisi ya Mkuu wa Mkoa mjini Babati, kushoto ni Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Mhe.William Lukuvi na kulia ni Mkuu wa wilaya ya Babati, Crispin Meela.Mhe.Bendera amesisitiza nidhamu ya kazi katika kuhudumia wananchi na ameapa kuwaondoa watendaji wabovu mkoani humo.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe.William Lukuvi akizungumza katika...
11 years ago
Habarileo15 May
Pinda ahoji dhamira kumaliza tatizo la madawati
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameeleza kushangazwa na hatua ya wakurugenzi, mameya na wenyeviti wa halmashauri nchini kushindwa kutengeneza madawati ili kuwaokoa watoto kutokaa sakafuni, huku vijana wanaoshiriki shindano la Maisha Plus wameweza kutengeneza madawati 30 kwa muda mfupi waliokaa katika kijiji walichopo wilayani Bagamoyo.